mchapafito
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 607
- 302
anataka akupe kipochi manyoya
Kuna kipindi nilisumbuliwa sana na panya nyumban kwangu.sasa siku moja niliumia mkonon nikachukua majivu nikapaka kukata damu.Mabaki ya majivu yalikuwa juu ya meza,kuamka asb tukakuta panya 2 wamekufa!Basi usiku uliofuata tukaweka tena,asb tukakuta wamekufa!Nikajua tumegundua dawa ya panya.Baada ya wiki ktk maongezi na jiran nikajua yeye ndiye aliyekuwa akiweka sumu ya panya kwake,wanakuja kufia kwangu!
Heri lee,wakati mwingine UDHANIAVYO SIVYO.
Kuna kipindi nilisumbuliwa sana na panya nyumban kwangu.sasa siku moja niliumia mkonon nikachukua majivu nikapaka kukata damu.Mabaki ya majivu yalikuwa juu ya meza,kuamka asb tukakuta panya 2 wamekufa!Basi usiku uliofuata tukaweka tena,asb tukakuta wamekufa!Nikajua tumegundua dawa ya panya.Baada ya wiki ktk maongezi na jiran nikajua yeye ndiye aliyekuwa akiweka sumu ya panya kwake,wanakuja kufia kwangu
hahahahhahahahahaahahhahaahaahhaha;duh ni hatari sana
mkuu tangu juzi post zako tete sana,unajaza server na kusabisha topic zingine kuonekana za zaman na kufanywa invalid
Natarajia after few days utapost uzi na wew about ur newmchuchu hw good he is?
likizo ya Pasaka tutaona mengi.
Limeleta mgogoro mkubwa swali hili
Hivi ukiona demu anakuangalia saana na kila mki kaa na mkikutana anakuangali tu inamaanisha nn