Recent content by shekalage

  1. shekalage

    BILA SANAA INGEKUAJE; hawa ndio wasanii wa bongoflava ambao zamani walikua wezi

    Tundaman alikuwa kipa wetu forodhani secondary tulikuwa tunamuita barthez kumbe mpira ukiisha anaenda kazini.
  2. shekalage

    Florah Lymo: How to look sexy at home

    Msimponde sana shemeji yenu kwa yule jamaa wa cdm
  3. shekalage

    Msaada ndugu zangu nifanyaje naona hii ndoa inanishinda..

    Great thinker naomba tusaidiane ushauri me nna kaka yangu ameoa huu mwaka wa tatu ndo hakuna mtoto,wadogo zake alowatangulia kuoa wote sasa hv wanawatoto na yy umri ndo unazidi kwenda maana ameoa akiwa na miaka 32 mpaka sasa hv ana 35,wamehangaika kila aina ya dawa kumtibu mwana ke hili aweze...
  4. shekalage

    Nimewekewa chuma mguuni nahitaji kutoa

    Kuna dr nilimuuliza akaniambia km akikaa nacho hakimsumbui akae nacho tu.
  5. shekalage

    Nimewekewa chuma mguuni nahitaji kutoa

    Naomba ushauri Kuna mdogo wangu alivunjika mguu tangu 2011 amewekwa chuma na sasa hivi yupo vizuri anatembea hata saa 2 na hasikii maumivu. Yeye anataka kutoa, nikiomba ushauri watu wananiambia nimuache nacho, Nimeona nilete kwenu great thinker nipate mawazo yenu nikamtoe, nisipomtoa atapata...
  6. shekalage

    Poleni mlofanya interview,me interview yangu ya mwisho tra ni ile ya msimbazi center

    Najua kuna watu mlitoka musoma,mwanza kwa ajili ya interview ya tra na leo tokeo limetoka aibu hila mckate tamaa zikitangazwa ombeni hla me nssf,tra,pspf hela ya kutuma maombi bora niende kwa mabwenga.
  7. shekalage

    Mchumba wangu amezaa na mume wa mtu!

    Huyo bwana unaetaka akulete mke ye mwenyewe mke alikuwa hana
  8. shekalage

    Mbwana Matumla akamatwa na madawa ya kulevya Spain.

    Kweli bro mbwana alikuwa moro hata mm nilikuwepo na watoto wa keko wengi tu,hila me nnavyomjua mbwana hawezi kukubali kubebeshwa madawa,inawezekana akawa amebebeshwa bila kujua coz jamaa ni muoga sanaa
  9. shekalage

    Mwanajeshi ndie aliyemuua Padri Mushi Tanzania Visiwani?

    Wengne vichwa vyao vimejaa udini,mambo yameshapita tugange yajayo km kuuwawa wameuaw masheikh wangapi mbona kila cku hamuandiki ile risasi alopigwa ponda angekuwa mchunganji forum zote zingejaa mara kapigwa na fundi seremala leo mwanajeshi huyo huyo mchungani mmoja kauliwa.
  10. shekalage

    Endapo atakuwa Mwenyekiti Taifa: Zitto atamudu changamoto alizokutana nazo Mbowe?

    Kama dj kaweza kuongoza atashindwa vp zitto kijana msomi,labda km kigezo mpaka kupigw na mabomu siyo uwezo wa akili
  11. shekalage

    Likizo na Pasi Zasitishwa JWTZ. Waliokuwa likizo waitwa warudi kambini

    Huyo kamanda hana siri yoyote ya maana coz huyo mwanajeshi alikuwa mkufunzi katika kitengo cha it,kakimbia na mitihani na waliyokuwa na course work ndogo wamefudahi paper itarudiwa.
  12. shekalage

    Marekani yajiandaa kufanya mazungumzo na Pakistan kuhusu mashambulizi ya ndege zisizo na rubani.

    erikali ya Marekani imetangaza kukubali ombi la Pakistan la kufanya mazungumzo kuhusiana na mashambulizi ya ndege zake zisizo na rubani nchini humo. Hayo yamethibitishwa na kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo katika mahojiano na gazeti la Nawaiwaqt la Pakistan...
  13. shekalage

    Mkuu wa M 23 Colonel Sultan Makenga is Dead

    sheria za darful tofauti na drc,darful hawaruhusiwi kushambulia wakati drc wanaruhusiwa kushambulia na mdiyo ilivyopitishwa na baraza la usalama la un
  14. shekalage

    Sudanese president leaves Nigeria after demands for his arrest

    Viongozi wa afrika wanapenda kusaini mikataba hovyo haya ndiyo madhara yake hyo mahakama nchi za ulaya nyingi ikiwemo us hawajasaini kuitambua ndiyo maana wanafanya wanavyotaka,icc haiwezi kuwashitaki mnabaki kulalamika wanatuonea viongozi wa afrika inabidi muwe mnasoma mikataba na mjue madhara...
Back
Top Bottom