Kama ni mroma aende akalalamike kanisani Na kama si mroma yeye linamuhusu nini??
Mimi pia nahisi anataka kuibua mjadala ambao hauna faida
Ni mawazo yangu tu wandugu mnisamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini kanungila??
Mimi ni imamu
Lakini nionavo sadaka ni muhimu sana ya kanisani au msikitini
Japo mchango wa harusi nayo ni sehemu za sadaka lakini inaweza kununua khamru
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ubahili wa kijinga huo
Toa sadaka wewe hilo ndio muhimu sana
Ama michango ya harusi hiyar yako wewe si tayari umeshaoa? Kwani una mpango wa kuongeza mke ili na wewe uchangiwe?
Kama una binti subir akiposwa wambie mahar mil 5 na wakitoa hapohapo muozeshe haraka kablahujazila hizo pesa
Na...
Mzee mimi niliwah kusikia dawa hiyo ipo Lakini sikumbuki wapi!!!! Tajitahid kesho kumuuliza jamaa yangu mmoja Weka namba yako ya simu na ulipo kesho takugongea uzi kukujulisha
Kila jambo lina mwanzo na mwisho maadamu umeonyesha nia ya kutaka kuacha nina imani utaacha ndugu
Sent using Jamii...
Ni kweli kuna tatizo nyuma ya pazia Lakini ukweli anaujua mwenyewe
Ila nakushauri kama nyuma ya pazia hapako sawa tumia na mdindadinda Nione private nikupe hata dozi moja Na akikuita mbwa tena ujue huyo hakufai
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaaa!!!!!!
Acheni kuwasema vibaya watumishi wa Mungu!
Mimi nina hakika kuwasema vibaya hawa masister ni uzushi tu Kama kuna mtu ana ushahidi wa uhakika sio wa kusikia sikia tu kama wanavosikia na kuhadithia basi iwe kweli Lakini kila mmoja akihadithia ataishia kusema tunasikia Hivi ni...
Uangalieni kwanza huo muungano ni wenu??
Mmeungana?? Au mmeungwa?? Ndipo muanze kujadili urahisi mtaupataje kama muungano ni huu nyinyi ni umakamo tu mpaka mwisho wa Tz
Ni fikra zangu ndugu zangu wa Zanzibar mnisamehe
Urais wazanzibari sahauni mtapata makamu hata miaka 50 ijayo Tangu mzee Ally mpaka leo hakuna cha Uzanzibari wala nini Kaingia mkapa wa bara kaja JK bara Sasa mzee Magu bara Na ajae ni bara Muhimu Mungu atuletee rais mwenye imani ataewapenda raia wake, haijalishi dini gani, Muhimu kwetu vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.