Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,795
- 28,450
historia inaonyesha kuna Ma pope 2 waliwahi kuzaliwa Afrika lakini hawakuwa black-waafrika na katika kupitia historia za hawa Baba watakatifu hamna pope mweusi hata 1ni kwa nini?.
naombeni waromani mnfafanulie au huwa kuna vigezo ambapo watu wa rangi fulani wana be excluded kwenye mbio za kuwania upapa.
naombeni waromani mnfafanulie au huwa kuna vigezo ambapo watu wa rangi fulani wana be excluded kwenye mbio za kuwania upapa.