Je na kama usingekutana naye kwenye daradara angeshindwa kujilipia nauli? Au aliota kuwa atakutana na wewe? Kila mtu anaishi kwa bajeti yake na pengine bajeti ndyo inayokamilisha ratiba za mtu hivyo hukuwa na kosa lolote waache hao wasioishi kwa bajeti walalamike
Mm hiyo elfu thelathini kwangu haipati kizembezembe hivyo kama anashida nayo kweli hata kesho yake nitamwambia aje kuchukua kwangu ila siyo nimtumie aje nimpe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.