NANGA WA KWATA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 347
- 232
nichukue fursa hii kuviomba vyama vya upinzani nchi kulipigia kelele suala za kusitishwa ajira serikalini na watu kurudishwa nyumbani walioajiriwa mwezi may 2016 bila malipo yoyote vyama vya upinzani hasa chadema lipiganieni suala hili ambalo ni janga la kitaifa tangu inchi ipate uhuru hakijawahi tokea kitu cha namna hii acheni kukaa kimya watanzania wapo nyuma yenu kuwatetea