Mimi pia ni mhanga wa hizi dawa unachubuka sehemu za siri na muwasho mkononi unatoka kama vishilingi
Mie nikitumia malafin tu hali tete na mwanzo ilikuwa ndo dawa yangu hiyo.
Ahsante kaka ila injini ya kwanza ilikuwa msumari hataripk nilikuwa nasema hii nguvu imezidi sio ya injini hii.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Habari wataalamu
nimenunua Suzuki carry(Kirikuu)
Mara ya kwanza ilikuwa njema sana lakini baadae ikaanza shida ya kula oil baadae ikazungusha mkono. Fundi akashauri tununue injini t.nikafanya hivo.lakini hii injini mpya haina nguvu.
Inachemka sana na inakula oil pia intoa moshi sana sasa je...
Nataka kununua Jenereta ambalo lina uwezo wa kuwashwa pamoja na mashine ya kusaga HP 20 na kukoboa HP 15.
Je, Diesel silent generator itatakiwa ya KVA ngapi?
Naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.