Recent content by Shed1

  1. Shed1

    Ni asili ya mwanamke ikitokea usishangae

    Hasa huyu Mama huyu
  2. Shed1

    Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

    Doh!Ila kweli Fact Sana ntaiweka hii kwenye Akili yangu Ila Sasa Kama bado ujaoa utapataje mke Sasa ukiamua kuwapotezea?
  3. Shed1

    Simba SC msiwaamini Yanga SC na 'Mind Game' yao kuwa Saido na Ambundo wamefukuzwa Kambini

    Sa mazoezi maalum kwa Simba hii ya kazi gani
  4. Shed1

    Inakuwaje Saido na Abundo waadhibiwe wakati walikuwa wanne?

    Hahaa wanatamani mayele nae angekueopo au asimamishwe japo kwa Tarh 28 tu
  5. Shed1

    Timu hizi zinaenda kufa

    😄😄😄Huyu jamaa wa wapi alafu wachezaji wengi unaodai wanaondoka Apo Ni wazee
  6. Shed1

    Amekuwa akifanya mapenzi kinyume na maumbile, sasa anataka kubeba mimba

    Alafu ukute Apo Ni mume na mke ndo walikua wanafanya hio michezo Sasa wanaomba ushauri Sasa Kila Dhambi lazima ulipe Garama zake Sasa ndo Kama hizo na saa nyingine Ni Mauti kabisa.
  7. Shed1

    Habari! Shedrack David From Chugastan

    Habari! Shedy David from Chugastan hapa. Nami nasema hodi Jf. Hivi ni forum gani huwa inakua active sana humu niweke kambi huko?
  8. Shed1

    Refaa wa Mchongo

    Mchawi ukishamjua ana nguvu tena
  9. Shed1

    Hata Kama Simba SC Wakimlipa CLOUTUS C. CHAMA Pesa Zake, Bado Hatokuwa Mchezaji Bora Uwanjani tena

    Kumbe ndo vile Ila hizi habari mnapataga wapi nyie?
  10. Shed1

    Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

    Kama inakuja inakataa Ila kusudi kuu la Mungu kuumba Mwanadamu ni Hili Tumuabudu kusudi la Kwanza Ni ili wakatawale nch
  11. Shed1

    Siri niliyoipata katika kufunga siku 21 kila mwanzo wa mwaka

    Leo ni may 17 Huu Uzi uliishaje?
Back
Top Bottom