Your comment is too personal ila mi nishakuelewa tayari ulivyomaanisha ngoja nikupe ushindi.Ukishataja mwanamke unamaana kila mwanamke akiwemo mama yako mzazi. Wote ni KE sababu hao wanaotenda wayaendao nao ni ke kama mama yako unless mama yako alizaliwa kama Bikra Maria mkingiwa Dhambi. Penda usipende kama ulivyosema ni jukwa huru, umetoa mawazo yako nami nimetoa yangu.
Sitaki kuwaza hivyo mkuu maana sina ushahidi ila nijuavyo jamaa alikufa kifo cha kawaida tu .Huyo mke alimtoa kafara,think out of the box hakukuwa na upendo wa kweli bali kutimiza ibada yake ya kishetani
Kifo ni kifo mradi roho imetoka,alitolewa kafara na huyo dadaSitaki kuwaza hivyo mkuu maana sina ushahidi ila nijuavyo jamaa alikufa kifo cha kawaida tu .
Kivipi vivuruge?Ni kweli asilimia mia moja ila huwezi ishi na mama yako mkwe hata ujiue .
Ndugu wa mume ni vivuruge .
Yaani acha tu so ndio hali halisi
Tatizo kile kitobo chaoHawa watu sio wa kuonea huruma.
Lakini ni wanaume wachache sana wanaokuwaga na roho ngumu kwa wanawake,wanaume wengi tuna huruma sana kwa wanawake
Hadithi za kufarijiana,Nadhani ni tabia ya mtu tu wala si kwamba wanawake wote wana hizo tabia binafsi nimeshashuhudia kwa macho yangu kabisa jamaa yangu mmoja hakufanikiwa kusoma ila kuna msichana walipendana enzi hizo mbali ya msichana kwao kuwa na uwezo mkubwa wa mali ila jamaa akawa anajitahidi vi daftari na pesa ndogo ndogo ila matumaini ya kuja kuishi naye akawa hana sanaaa .
Maajabu baada ya binti kupotezana na jamaa miaka kadhaa (nadhani advance na chuo) akarudi akiwa ameshapata kazi tena nzuri inayolipa pesa ndefu tu, aliporudi akamuomba jamaa amuoe yaani kama maigizo hivi jamaa haamini maana hata pesa ya mahari hana binti akagharamia kila kiti wakafunga ndoa japo familia yake haikukubaliana na hali.
Maajabu mengine jamaa anakuambia usiku wa ndoa alikuwa binti bado ana usichana wake ,Mungu aliwabariki mtoto mmoja wa kike ila jamaa hakuishi sanaa akafa na mpaka hivi sasa ninavyoongea binti hajaolewa kabisa though anachumbiwa sanaa ila hataki hata kusikia habari ya mwanaume.
Sawa mkuu mabeste yule msanii kamuuguza mke wake mpaka akapona alivyopona mwanamke akaenda kwa jamaa mwingine akamkacha msela huo ni mfano tu mkuu na hyo namba tano ndio iliyonifanya niandike huu uzi kuna tukio lilitokea la kusikitisha sana huku mtaani wanawake kwakeli wanajisahau sana mda mwingine.Namba 5 nakataa
Hiyo haimaanishi kwamba upande wa pili hakuna anayefanya hvo,, mfano mzuri kipindi mwanamke ana ujauzito wengi huwa tunaenda kula njeSawa mkuu mabeste yule msanii kamuuguza mke wake mpaka akapona alivyopona mwanamke akaenda kwa jamaa mwingine akamkacha msela huo ni mfano tu mkuu na hyo namba tano ndio iliyonifanya niandike huu uzi kuna tukio lilitokea la kusikitisha sana huku mtaani wanawake kwakeli wanajisahau sana mda mwingine.
How come personal wakati you can see the way you presented it is very generic. Umesema mwanamke hukusema wanawake wengine au fulani but mwanamke including yours period.Your comment is too personal ila mi nishakuelewa tayari ulivyomaanisha ngoja nikupe ushindi.
Wewe unatuletea habari za kumi kwa mmoja!! muwe mnaelewaga somo hapa tuna maana ya ke wengi ndivo tulivo...weye akili mu kichwaa niolewe na mtu wa chini kisa??sitaki taabuNadhani ni tabia ya mtu tu wala si kwamba wanawake wote wana hizo tabia binafsi nimeshashuhudia kwa macho yangu kabisa jamaa yangu mmoja hakufanikiwa kusoma ila kuna msichana walipendana enzi hizo mbali ya msichana kwao kuwa na uwezo mkubwa wa mali ila jamaa akawa anajitahidi vi daftari na pesa ndogo ndogo ila matumaini ya kuja kuishi naye akawa hana sanaaa .
Maajabu baada ya binti kupotezana na jamaa miaka kadhaa (nadhani advance na chuo) akarudi akiwa ameshapata kazi tena nzuri inayolipa pesa ndefu tu, aliporudi akamuomba jamaa amuoe yaani kama maigizo hivi jamaa haamini maana hata pesa ya mahari hana binti akagharamia kila kiti wakafunga ndoa japo familia yake haikukubaliana na hali.
Maajabu mengine jamaa anakuambia usiku wa ndoa alikuwa binti bado ana usichana wake ,Mungu aliwabariki mtoto mmoja wa kike ila jamaa hakuishi sanaa akafa na mpaka hivi sasa ninavyoongea binti hajaolewa kabisa though anachumbiwa sanaa ila hataki hata kusikia habari ya mwanaume.
mi ni aunt yang ni nesi, aliilewa na jamaa ambae hakubatik kusom, alikua anamnyanyasa mmewe mpk kun siku aunt alicombana na mtt wake sababu hiy hiyNadhani ni tabia ya mtu tu wala si kwamba wanawake wote wana hizo tabia binafsi nimeshashuhudia kwa macho yangu kabisa jamaa yangu mmoja hakufanikiwa kusoma ila kuna msichana walipendana enzi hizo mbali ya msichana kwao kuwa na uwezo mkubwa wa mali ila jamaa akawa anajitahidi vi daftari na pesa ndogo ndogo ila matumaini ya kuja kuishi naye akawa hana sanaaa .
Maajabu baada ya binti kupotezana na jamaa miaka kadhaa (nadhani advance na chuo) akarudi akiwa ameshapata kazi tena nzuri inayolipa pesa ndefu tu, aliporudi akamuomba jamaa amuoe yaani kama maigizo hivi jamaa haamini maana hata pesa ya mahari hana binti akagharamia kila kiti wakafunga ndoa japo familia yake haikukubaliana na hali.
Maajabu mengine jamaa anakuambia usiku wa ndoa alikuwa binti bado ana usichana wake ,Mungu aliwabariki mtoto mmoja wa kike ila jamaa hakuishi sanaa akafa na mpaka hivi sasa ninavyoongea binti hajaolewa kabisa though anachumbiwa sanaa ila hataki hata kusikia habari ya mwanaume.
umeongea ujinga huo, ko asiongee ukweli sababu walimzaa kwn wanao fanyiwa c babu, baba na kak zake.Hapo mama yako mzazi, bibi zako, shangazi zako na dada zako. Wote kundi moja na bora mama yako angekubana ukafia njiani kuliko kuzaliwa naye ukaona huo ubaya unaoshuhudia sasa. Pole sana.