Aisee mapenzi na mwnmk mwenye mizinga hayana aman kabisa,
Yaan ni lazima wanawk watambue kua hyo ni dosari kubwa sana.
Ni bora ukiomba hela utoe na muda kidogo wa mwenzawako kukutafutia.
Hii itasaidia pia kupata msaada wa haraka pindi utakapokuwa na shida ya dharura.
Nawasilisha
Sent using...
Ninaachijua mm hawakuongea kwa ubaaya bali ni kuweka tahadhari kwetu kama haitakuwa hvyo itakuwa vizur zaid.
Lakn haina maana eti wao wanataka tufe
Sent using Jamii Forums mobile app
Washamba tu haoo, we unaona kabisa wazungu( manguli ya tiba ) yanalia juu ya korona halaf boya mmoja tu analeta mzaha na vijisiasa uchwara. Inauma sana kuwa na vionvozi wajinga aisee hata uwaelimishe vip wao kiburi ndo best opt.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.