Udhibiti wa Corona: Upuliziaji dawa Mbagala haukuwa na tija

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,664
22,256
Jijini Dar es Salaam upo utaratibu wa kupuliza dawa kudhibiti Corona, upuliziaji ulihusisha magari na pampu za mkono. Mbagala ni eneo lenye watu wengi na msongamano mkubwa lakini ulitumika unyuziaji wa pampu mbili za mkono!

Wanyunyuziaji wawili wanaotembea kwa miguu kitu walichofanya ni kunyunyiza kwenye mitaro tu na barabara!

Maeneo ya Kariakoo na Tandika tuliona magari yakipuliza mpaka kwenye maduka na magenge.
 
Vishindo na mbwembwe walizoanza nazo vimezima ghafla kama taa ya umeme.
Taratibu tu tutaelewana.
Zile sanaa za Mzee Meko za kupigwa picha juu ya mawe, kwenda kijiweni kunywa kahawa na uzururaji wa Bashite zinaenda kufikia mwisho wake sasa.
 
Washamba tu haoo, we unaona kabisa wazungu( manguli ya tiba ) yanalia juu ya korona halaf boya mmoja tu analeta mzaha na vijisiasa uchwara. Inauma sana kuwa na vionvozi wajinga aisee hata uwaelimishe vip wao kiburi ndo best opt.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom