Recent content by shaurimbaya

  1. S

    Job Opening: Bartender for Africa Location Vucadd Engineering Services Pvt Ltd

    Job Opening as Bartender for Africa Location Vucadd Engineering Services Pvt Ltd Job Description We have opening as Bartender for one of the Africa based Restaurant in Africa Location: - Tanzania - East Africa Benefits: - Salary + Local Allowance+ Accommodation About you: - Good command of...
  2. S

    Waziri Lukuvi, Punguza ubabe wewe ni mtumishi wa Umma

    why dar es salaam tu?? hii ni double standards... mkiamua kuweka sera ni nchi nzima.. tanzania sio dar es salaam tu
  3. S

    Jinsi walimu tulivyoanza kugawanywa kimatabaka awamu ya tano

    mtihani kusimamia sizan kama unalazimishwa... hapa kazi tu.. ndio awamu hiiii
  4. S

    Chumba na sebule kinapangishwa ubungo external

    imeshapangishwa mkuu
  5. S

    kijieneo cha kuchimba kisima cha maji dsm

    hongera kwa wazo lako.. ila biashara ya maji sio rahisi kabisa.. kwanza maeneo yenye maji mazuri ardhini unakuta kila nyumba ya mwenye uwezo inajichimbia kisima na kuuza maji.. so ushindani mkubwa.. na eneo lenye maji ya chumvi ndio kuna faida ila lazima ufunge mtambo wa kuchuja chumvi...
  6. S

    Usiombe upunguzwe au kukosa kazi ghafla zama hizi.. NSSF na PPF wanakuchinjia baharini

    cha kufanya ni kuweka wimbo wa kuisoma namba kwenye sabufa zetu na tuanze kukata viuno he he he.. hii hatari sana sister.. labda trump atusaidie tu
  7. S

    Usiombe upunguzwe au kukosa kazi ghafla zama hizi.. NSSF na PPF wanakuchinjia baharini

    hao wa zamani ndio wanapata.. kuanzia august mwaka huu ukipeleka maombi unaambiwa miezi sita kisha unachinjiwa baharini
  8. S

    Usiombe upunguzwe au kukosa kazi ghafla zama hizi.. NSSF na PPF wanakuchinjia baharini

    Habari wadau.. Kiukweli tuheshimu sana viajira vyetu maana awamu hii imeondoa kiburi cha kuacha kazi ukachukue chako na uanze kujiajiri... Ukipunguzwa kazi miaka hii na hukuwekeza mapema imekula kwako.. NSSF na PPF lao moja.. mafao hawatoi tena.... Japo NSSF wanazuga na miezi 6 ila ni kuzuga...
  9. S

    Alex Massawe na Papaa Msofe wabwaga kesi ya Nyumba ya 2bn

    hawa watu sio watu wazuri kabisa... mtu anamuua mwenzake ili apate nyumba yake
  10. S

    Trump siku 3 tu baada ya kuchaguliwa, kabla hata hajaapishwa tayari ni maarufu kuliko Putin

    trump balaaa lake lazima umjue tu.... hapo nchi hajapewa bado waamiaj wameanza kuandamana
  11. S

    Awamu hii umasikini wa mtu mmoja mmoja utaongezeka sana

    maisha magumu sio kwa wote.. hukuona mtu amefuturisha watu na kugawa I phone kwa kila mgeni... kuna watu wana ma appartment na makampun kibao ila nao wanajifanya wanazuga maisha magumu ili wapate sababu ya kutoombwa hela
  12. S

    Mtwara: Askari Polisi ajipiga risasi akiwa lindoni, Mwili wake kusafirishwa kwenda Mwanza

    polisi huwa wanajiua sana nahisi kuna jambo linawatesa sana.. na hata baadhi ya mambo wanayowafanyia raia yanawapa stress sana hasa yale ya uonezi. kiukweli kabisa kutoka moyoni mi binafsi sijawai kumuamini polisi yeyote na kushirikiana nae jambo lolote maana wengi wao ni wanapenda sana rushwa...
  13. S

    Utabiri: Trump akikanyaga Afrika, mguu wa kwanza kwa Dr. Magufuli

    hakuna mzungu anaempenda mu africa bure bure tu
  14. S

    Hizi ndio ada za shule za binafsi Tanzania

    sasa mtoto wa mengi, dewji, bakhressa, lake oil, homeshopping, asas, moil, unataka wakasome wapi??? na hizo shule nafasi zinajaaa.. nchi hii kuna matajiri wengi sana wa kusomesha watoto hizo shule... japo maskini tupo wengi zaidiiii
  15. S

    Utafiti unaonyesha maskari ndio wanaongoza kuoa wanawake magoli kipa

    ila kwa haraka haraka ni kweli hiiii.... askari naowajua wengi wake zao ni mama wa nyumbani
Back
Top Bottom