Ngoja nitafute kwanza nitafute kam-cute kwanza hapa,kakipatikana fasta nitakutumia mchango mr. engineer,haya mambo ya bahati na sibu kwenye tukio muhimu hili siyataki.kwa aliye tayari kwa company ya july 29 karibu PM
Hakuna udhalilishaji wa Kenya kama nchi wala kwa Wakenya ambao hawajahusika na wizi huo hapo.Bango alilobebeshwa huyo mdada ni lenye nafsi binafisi ya mhusika 'mimi ni mwizi' na si ya wingi kwa maana ya 'sisi wakenya ni wezi',na kwa kuwa aliyeiba ni raia wa kenya ni vizuri tumtabue kuwa kumbe...
Mtoa mada nadhani ulipaswa kuwasaidia zaidi hawa wenzangu ni kwnn wanawe mikono baada ya haja ndogo.
Kwa ufahamu wangu zifuatazo ni sababu za kwa nini kunawa hasa kutokana na mikono kushika/kugusana maeneo haya ambayo kimsingi ni machafu sababu yanashikwa na watu wengi:-
*kitasa cha mlango...
Kaka kuishi kanda ya ziwa naona hakujakusaidia kabisa,ni kwa muda gani umeishi huko kwetu?
Pole sana kwa dharau za maneno ya hovyo aliyokuonyeshea huyo mkeo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.