Ole-Tariq
Member
- Apr 12, 2015
- 29
- 13
Atakuwa scientist,huwa wanaongea kwa principles n' formulas only...Hahaha. You made my evening bro. Hilo yai nimelikubali, sincerely. 0 effs given. My n!gga.
Atakuwa scientist,huwa wanaongea kwa principles n' formulas only...Hahaha. You made my evening bro. Hilo yai nimelikubali, sincerely. 0 effs given. My n!gga.
Enzi zetu lugha ikiwa gongana tulikuwa tunatumia hadi calculator mkuu!hahahhahaahha jaman Jf bhana, kwani hicho kitu kinahitaji lugha eeeeh
jst asking
Hii lugha ya malkia nayo ni tatizo kubwa, kwanini usinge andika kwa kiswahili maana duh pumba nyingi Bob mpaka desa limenikata hamu ya kusoma.
hahahahaha.... rubiiiiiii... kizungu nomaMsaada wa kuhadithiwa tafadhali!
hahaahahahahaha enzi zipi hizo mkuu?Enzi zetu lugha ikiwa gongana tulikuwa tunatumia hadi calculator mkuu!
Form 1 mkuu,shule wameweka rule ya 'NO ENGLISH NO TALKING' ilibidi wa2 watongoze kwa calculator mkuu!hahaahahahahaha enzi zipi hizo mkuu?
HaswaaHii lugha ya malkia nayo ni tatizo kubwa, kwanini usinge andika kwa kiswahili maana duh pumba nyingi Bob mpaka desa limenikata hamu ya kusoma.
Ameandika ka kiingereza ka kukaririshwa sanaHii lugha ya malkia nayo ni tatizo kubwa, kwanini usinge andika kwa kiswahili maana duh pumba nyingi Bob mpaka desa limenikata hamu ya kusoma.