Jipatie MiFi kutoka kampuni ya smile telecommunications yenye uwezo wa kuconnect devices 10 kwa wakati mmoja na wote mkafurahia kasi ya ajabu.
Rangi ni nyeusi na nyeupe
Tsh 115,000/= + 10 Gb kwa mwez 1 (21mbps)
Tsh 125,000/= +unlimited bundle kwa mwez mmoja (2mbps)
Tsh 149, 000/= + unlimited...
Habari!!!!
Kama title inavyojieleza, natafuta mahali ambapo naweza kufungua mgahawa kwa Dsm,,, nahitaji mongozo wenu kama kuna sehem unaifaham nipr direction tafadhali.
Ahsante mkuu ila huko sikuacha kazi ni muda tu wa kazi uliisha,, unakuta kazi ni ya miezi mitatu hivyo baada ya hapo unatafuta kwengine. Hata Cv yangu nimeweka kampuni 3 tu
Ahsante kwa ushauri
Jina: Clara Salehe
Umri: miaka 25
Jinsia: ke
Elimu: shahada ya rasilimali watu
Makazi: Mbagala kizuiani
Nimefanya kazi na startimes kama sales representative, nimefanya kazi na TBL kama sales representative, nimefanya kazi na Airtel kama sales representative, nimefanya kazi na Kimberly Clark...
Mi nimeambiwa take home 900, 000 same post na nitume elf 20 sio 25 kama wewe, nikamjibu utasubiri sana. Na kuna kipindi huyu mtu alitengeneza kampuni feki akaiita Cindrex kama sikosei. Ni mwizi aliekubuhu ila kashashtukiwa
Sio kwamba ndo umepewa kazi ila wanataka kujua ratiba yako kwamba ikitokea wanakuhitaji utakua tayari kuanza kazi kwao baada ya mda gani?? Hii ndio maana yao na si kwamba ndo umeshapata kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.