KAZI: Anahitajika mpishi mgahawani, DSM

KAZI: Anahitajika mpishi mgahawani, DSM

Aljazra Restaurant iliyopo Kigogo karibu na shule ya msingi Kigogo, Dsm inatangaza nafasi ya mpishi.

Anahitajika mpishi mwenye uzoefu wa mapishi ya vyakula vya aina mbalimbali pamoja na vitafunwa (maandazi, sambusa, piza, egg chop nk..).

Elimu kuanzia darasa la saba maombi yako tuma kupitia WhatsApp 0757528827. Au fika mgahawani moja kwa moja. KARIBUNI
Hamuitaji waitress???
 
Wakuu namshukuru Mungu waliohitajika wamepatikana na wanaendelea na kazi.
 
Nahitaji mfanyakazi wa dukani Mashahara 80,000/- maelezo zaidi inbox
 
Aljazra Restaurant iliyopo Kigogo karibu na shule ya msingi Kigogo, Dsm inatangaza nafasi ya mpishi.

Anahitajika mpishi mwenye uzoefu wa mapishi ya vyakula vya aina mbalimbali pamoja na vitafunwa (maandazi, sambusa, piza, egg chop nk..).

Elimu kuanzia darasa la saba maombi yako tuma kupitia WhatsApp 0757528827. Au fika mgahawani moja kwa moja. KARIBUNI
Ukihitaji cashier nina uzoefu mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom