Hata bagamoyo bado wanadai kiasi flani cha pesa,hali ni mbaya zaidi kwa wataalamu wa maabara,wamelipwa pesa ya siku moja na nusu wakati wanatakiwa walipwe kwa siku sita.
Ulitegemea Ikulu ikubaliane na maneno ya Mbatia? Serikali inapoelezwa ukweli huwa inajitahidi siku zote kuufanya ule ukweli uonekane ni uongo kwa kutoa taarifa isiyo na uhalisia ili kuwapumbaza wasiopenda kutumia akili zao kwa ubora unaostahili
Tuambieni sasa mnayetaka tumchague,tupeni mbadala wa huyo Lowasa. Kwa maana ni kazi bure kutuambia tusimchague Lowasa halafu mkaishia hapo,au mnataka tusipige kura kabisa? Niambieni huyo anayetuahidi mahakama ya kadhi ili tumchague.
Kwa haraka haraka inaonekana kwamba watu wengi waliowahi kushika au wanaoendelea kushikilia nyadhifa za juu serikalini ni wachafu,wengine walichafuka bila hata kuchukua pesa kwa kunyamaza pale ambapo waliwaona watu wanakwapua pesa. Binafsi nawachukia sana watu wachafu,ila nitawezaje kuwaepuka...
Kati ya mambo magumu kabisa kwa mwanadamu ni kukataa pesa anazopewa bure hasa pale inapoonekana kuwa hata akizikataa bado hakuna kitu atakachofaidi. Mzee huyu ameionesha ile hulka ya asili ya binadamu wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.