China ukikwepa kodi si tu kwamba unafilisiwa ,mbali unanyongwa pia.
Kulipa kodi siyo swala la hiari.
Hao wafanyabiashara uchwara lzm wanyooke awamu hii.
Rais akihutubia kwa kingereza watanzania 20% ndio wataelewa kinachozungumzwa .
Kwa nini uwanyime 80% ya watanzania kuelewa kinachozungumzwa kwa kisingizio cha kuwafurahisha mabalozi wasiozidi 10??
Kiswahili kwanza English baadae.
Go my lovely presidaa
Mwenye chama Lowasa aliongea Jana kuwa mambo ya maandamano na migomo waache ni tabia ya uanaharakati.
Kwa hiyo Mbowe Leo ametekeleza amri ya Mwenye chama
Wakati Lowasa anauziwa chadema na kugombea urais alikuwa na uzoefu na chadema kwa masaa mangapi ??
Ya chadema yamewashinda ,ya ccm mtayaweza wapi??.
Magufuli amekuwa mbunge na waziri kupitia ccm kwa miaka 20 !! Alafu wewe kibavicha kutoka ufipa unakuja kitumbo mbele kudai hana uzoefu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.