Recent content by Shamkware

  1. Shamkware

    Mchakato wa Kupata Tume Huru ya Uchaguzi Uanze Sasa

    Mapambano ya katiba mpya lazima yaendelee kwa kasi ya 5G hii sheria bado ina vichochoro vingi vya hovyo tu vinavyoweza kutokubadilisha chochote
  2. Shamkware

    Nimeangukia kwa single Mother

    Mbona kama sijaelewa
  3. Shamkware

    Israel yaiomba Hamas iwaoneshe kwanza orodha ya mateka waliobaki nao hai kabla hawajatia saini

    Israel walijua Hamas watawapiga hata jioni haifiki lakini wamekutana na moto wa vifuu sasa wanaomba poo! Daah kweli sio poa
  4. Shamkware

    Nimetafuta kazi mpaka nimechoka najiona sina faida hapa duniani

    Nenda katafute hata kazi ya ulinzi mshara Laki tatu utatoboa acha kulia ukiwa nyumbani utateseka daima
  5. Shamkware

    Rafiki zangu wengi walipata kazi kwa Connection, je wewe unayesoma hapa ulipata kazi(ajira) kwa njia gani

    Mimi kwakweli nashukuru mungu tu ni kama bahati nilituma CV nikaitwa nikafanya interview na nikapata kazi, lakini kwakweli wenzangu karibia wote kwenye ofisi ile wanasema walikuja kwa conectiona! So Bahati zipo ila connection ndio zipo sanaa! Usife moyo kujaribu kama huna connection kabisa !
  6. Shamkware

    Vijana mliomaliza vyuo kwanini mnavuta bangi?

    Unataka tufanyeje sasa na ajira hakuna mkuu wacha tulewe mixer ndum ndio kazi iliyobaki [emoji1787][emoji1787]
  7. Shamkware

    Wanawake, dating apps ni za kutafuta wapenzi sio kujiuza

    Aslimia 70 ya wanawake kama Dar ni umalaya tu
  8. Shamkware

    Msaada katika hili tafadhari

    Kwamba tayali wahuni washakula nya [emoji23][emoji23]
  9. Shamkware

    Mume wangu kanitukania Mama yangu, naombeni ushauri jamani

    Mimi ningekutukania mpaka baba yako na kipondo juu
  10. Shamkware

    Mke wangu kaniambia wenye pesa ndio waliomchelewesha kurudi usiku

    Ondoka hapo hakuna mke ukajua kuua au kujiua wewe
  11. Shamkware

    Jamaa amnunulia Mke wake Sex Toys

    Huyo kampa ruhusa ya kuzini masela watapiga vya kutosha
  12. Shamkware

    Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

    Hawa single mother ni tatizo sana kwenye kulea watoto, hawa ndio wanatuongezea mitoto michoko mtaani now days kabisa!
  13. Shamkware

    Nahitaji connection ya kupata chumba kwenye nyumba za NHC Dar

    We nenda ofsini kwao ukawaone, watakuelekeza unaandika barua ya kuomba mchawi ubani tu yaani usiwe na mkono birika ukifika nyosha mkono! Humu utakutana na vishoka utapangishwa na wapangaji bei mara mbili ya bei elekezi!
  14. Shamkware

    Kisa kifupi cha kusisimua kilichonikuta wakati naishi Temeke

    Kwani unge andika story yote kwa pamoja unge pungukiwa nini sasa
Back
Top Bottom