Mimi kwakweli nashukuru mungu tu ni kama bahati nilituma CV nikaitwa nikafanya interview na nikapata kazi, lakini kwakweli wenzangu karibia wote kwenye ofisi ile wanasema walikuja kwa conectiona! So Bahati zipo ila connection ndio zipo sanaa! Usife moyo kujaribu kama huna connection kabisa !
We nenda ofsini kwao ukawaone, watakuelekeza unaandika barua ya kuomba mchawi ubani tu yaani usiwe na mkono birika ukifika nyosha mkono! Humu utakutana na vishoka utapangishwa na wapangaji bei mara mbili ya bei elekezi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.