Recent content by shambagirl

  1. S

    Chuo cha upishi

    Ningependa unifundishe online vifaa na vitu baadhi vinaweza kunipa shida so nkashindwa kuelewa somo inavopaswa
  2. S

    Chuo cha upishi

    Thanks na nikiwa dodoma naweza kupata wapi?
  3. S

    Chuo cha upishi

    Nitapata wapi chuo cha upishi international nikiwa Dar-es salaam Msaada please!
  4. S

    Clouds TV mnatia aibu!

    star tv bado baba lao ikifatiwa na itv
  5. S

    GE2015 Kama atasoma hapa Mh. Magufuli ahailishe kugombea ubunge jimbo la Chato

    Hii ni kweli na ndio kauli iliyomtoa ANTONY DIALO ilemela mana na aliulizwa barabara ziboleshwe akajibu nyinyi hamna magari barabara za nini?
  6. S

    Ni uzalendo au uchumi tumbo na tamaa ya madaraka?

    Membe kigeugeu uyo astahili atakuwa mbunge hana msimamo
  7. S

    Basi luxury Mwanza to Dar-es-Salaam

    Mfano basi kama shabiby linalotoka dodoma kwenda Dar ni luxury hadi lina choo ndani. Ndo maana nikauliza basi luxury kwa mtindo huo
  8. S

    Basi luxury Mwanza to Dar-es-Salaam

    Mbona mnakuza mambo? Nimewaeleza hali halisi nyie mnaleta judgement zenu!! Hapatani na joto japo sio mara kwa mara na mnavojua safari ya Mwanza-dar ilivo ndefu sasa kisichoeleweka ni nini??
  9. S

    Basi luxury Mwanza to Dar-es-Salaam

    Mh!! We chinembe mambo gani tena hayo? Niko serious kuna rafiki yangu mgerman hapatani na joto kabisa thats why nauliza kama lina AC
  10. S

    Basi luxury Mwanza to Dar-es-Salaam

    Lina huduma zipi ndani? Mfano AC, vinywaji au zipi?
  11. S

    Basi luxury Mwanza to Dar-es-Salaam

    Naomba kuuliza ni basi gani zuri ambalo ni luxury la kutoka Mwanza kwenda Dar na nauli yake ni shilingi ngapi, msaada please.
  12. S

    Viongozi Mizigo 2014

    Prof. JK uyu mzigo tena haubebeki
  13. S

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    Ni lazima ada ulipie tawi la bank la chuoni au hata majumbani kwetu?
Back
Top Bottom