Unajua kwa wahindi taratibu nyingi sana zinakiukwa na wanatumia pesa kuwanyonya,,,kama atakataaa itabidi avunje yeye mkataba na akuwezeshe ukapate mafao yako,,maana hapo naona big ishu ni wewe kupata mafao yako,,,ukiona anakataaa vyote nenda ofisi za kazi ukamfungulie mashtaka
Sent using Jamii...