Recent content by Shakala

  1. Shakala

    JamiiForums Tanzania Barabara ya hombolo iangaliwe kiroho

    👊🏿
  2. Shakala

    JamiiForums Tanzania Barabara ya hombolo iangaliwe kiroho

    Imepita miaka kibao wakazi tunaotumia hii barabara tumekua tukidanganywa juu ya ujenzi wake kwa kiwango cha lami mpaka tumechoka,tangu enzi za mbunge madeje mpaka huyu mavunde kila awamu wameitumia kuombea kura lakini matokeo yake wanaishia kupitisha greda na kumwaga vimaji...baada ya wiki mbili...
  3. Shakala

    JamiiForums Tanzania Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Mimi ni mgogo,kubatizwa uombaomba,UVIVU wala ile ya dada zetu kwamba wana huruma haijawahi kunikosesha amani almradi najua mimi ni mtu wa aina gani,RELAX mwanangu
  4. Shakala

    JamiiForums Tanzania Profesa Mkumbo: Uchumi wa Dunia unashuka, ila Uchumi wa Tanzania unapanda

    Tuna bunge la hovyo mno,sidhani kama kuna nchi ya kutuzidi kwenye hili
  5. Shakala

    JamiiForums Tanzania Watanzania tutamlinda, kumpigania na kumtetea Rais Samia kwa gharama yoyote ile

    Sijawahi kua chawa na haitatokea ila nakerwa na hawa nguruwe
  6. Shakala

    JamiiForums Tanzania Watanzania tutamlinda, kumpigania na kumtetea Rais Samia kwa gharama yoyote ile

    Kama mama ako alivyo na hasara
  7. Shakala

    JamiiForums Tanzania Watanzania tutamlinda, kumpigania na kumtetea Rais Samia kwa gharama yoyote ile

    Kati ya viongozi nimetokea kutompenda ni huyo nyoko yenu samia🚮
  8. Shakala

    JamiiForums Tanzania TFF tokeni zama za mawe za kati

    Kabisaa,wanaishusha hadhi ligi yetu
  9. Shakala

    JamiiForums Tanzania TFF tokeni zama za mawe za kati

    Wasalaam, Soka la Tanzania limekua kwa kasi sana hivi karibuni kiasi cha kuvutia watu kadhaa kuanza kuwekeza kwenye mpira wetu,Azam tv, Vodacom,nbc,sportpesa,GSM,MO na wengineo.watanzania wengi wamekua wakijipatia kipato kupitia soka;wachezaji,wauza jezi,watu wa usafirishaji,wenye nyumba za...
  10. Shakala

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Polisi Mtumba, Dodoma muache uonevu

    Sasa akuibie mmoja then difenda likwale vijana 14 ni haki hiyo?
  11. Shakala

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Polisi Mtumba, Dodoma muache uonevu

    Mtumba kipo jijini dodoma, pembeni ya mjinwa kiserikali
  12. Shakala

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Polisi Mtumba, Dodoma muache uonevu

    M Mtaa gani mkuu?
  13. Shakala

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha Polisi Mtumba, Dodoma muache uonevu

    Imekuwa miezi kadhaa sasa askari toka mtumba wanapita na difenda zao Mahoma, Ipala na Hombolo kubeba vijana wasio na hatia na kuwavisha kosa la uzururaji. Wanapita saa 3 usiku wakakamata mpaka madogo wanaorusha movie tena wakiwa ndani ya vibanda vyao. Ndugu zao kufika kituoni wakatozwa 50000...
Back
Top Bottom