Usafiri wa daladala kwa sisi wakazi wa kigamboni ni kero na shida kubwa.
1. Giza likiingia nauli zinapandishwa juu; Zinakuwa tofauti na zile elekezi za serikali.
2. Jioni daladala zinafanya kazi kwa kujisikia saana. Konda awapakize ama awaache kwanza mgombanie daladala. Kisha akiamua ndo...
Hello wananzengo wa Tanzania popote mlipo duniani. Nautupia huu uzi humu ili tuujadili kwa pamoja.
Kumeibuka wimbi la "Mikate ya Maziwa" hapa nchini. Kila sehemu ipo inauzwa.
Maswali yangu machache kwa mamlaka za udhibiti ubora (TMDA na TBS) ni haya:
1. Je, tuna taarifa za kutosha juu ya...
Weye naona umebanwa kunya, kanye kisha uchambe na maji ya baridi. Hivi Membe nawe unaweza kumfikiria kuwa rais wa TAnzania katika enzi hizi za Magufuli. Hata nusu ya Magufuli hafuati
Naunga mkono hoja, tena napenda kuongezeapo kidogo tu ili kunogesha mapokezi ya "MFALUME TINDIKALI SULI"
1. Siku hiyo itangazwe kuwa ni ya mapumziko.
2. Wananchi wote wapenda amani tutangaziwe kubaki majumbani.
3. Serikali iwaandae vijana wake wa JESHI LA POLISI na wale waliopo kwenye mafunzo...
Hivi hakuna mwanaNzengo hata mmoja aliyebahatika kupiga picha za video au mnato hao wakamataji wa nyalandu ili tuone hizo SMG na AK47......????
Yaaani yanavyokuzwaaaaa......!!!
Teheeee teheee teheee....!!!! Najaribu kujiwazia kwa sauti tu mwanaNzengo miye
Hivi hakuna mwanaNzengo hata mmoja aliyebahatika kupiga picha za video au mnato hao wakamataji wa nyalandu ili tuone hizo SMG na AK47......????
Yaaani yanavyokuzwaaaaa......!!!
Teheeee teheee teheee....!!!! Najaribu kujiwazia kwa sauti tu mwanaNzengo miye
Ndugu zangu wananzengo wenzangu wa Tanzania, na hususani wana JF tumepatwa na msiba. Mwana-Jamii Forum mwenzetu kennedy lufulondama hatukonaye tena duniani.
Amefariki jana majira ya saa 1:00 jioni.
Taratibu za maziko zinaandaliwa huko Mkula Simiyu.
Ndugu zangu wanaNzengo wa Tanzania popote pale mlipo duniani habari zenu.....!!!!?
Ama baaada ya salaaamu, napenda nishirikishane na ninyi mambo machache hapa kupitia kipande hiki kidogo cha video.
Katika hii picha ya video anaonekana na kusikika mtu mmoja akiongea na maafisa elimu (sina...
MwanaNzengo ili usikereke ACHA kwenda hospitali ya rufaaa ya Bugando.
Vinginevyo anzisha hospitali yako ya bugando ambayo haitakuwa na utaratibu huo unaokukera!
Period....!
Anayetafuta ama anayetaka king'amuzi cha startimes tafadhari anitafute in-bobo! nitampatia buReeeee kabisa, nina miaka kama minne hivi sikitumii nimekifungia tu kwenye boksi.
Tido Mhando alinihamasisha na kuniaminisha kuwa baada ya muda mfupi startimes kitakuwa king'amzi bora chenye channel za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.