Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 409
- 138
Ndugu zangu wananzengo wenzangu wa Tanzania, na hususani wana JF tumepatwa na msiba. Mwana-Jamii Forum mwenzetu kennedy lufulondama hatukonaye tena duniani.
Amefariki jana majira ya saa 1:00 jioni.
Taratibu za maziko zinaandaliwa huko Mkula Simiyu.
Amefariki jana majira ya saa 1:00 jioni.
Taratibu za maziko zinaandaliwa huko Mkula Simiyu.