TANZIA: Mwana JF, Kennedy Lufulondama afariki dunia

TANZIA: Mwana JF, Kennedy Lufulondama afariki dunia

Shagiguku

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
409
Reaction score
138
Ndugu zangu wananzengo wenzangu wa Tanzania, na hususani wana JF tumepatwa na msiba. Mwana-Jamii Forum mwenzetu kennedy lufulondama hatukonaye tena duniani.

Amefariki jana majira ya saa 1:00 jioni.

Taratibu za maziko zinaandaliwa huko Mkula Simiyu.

nyamswa.jpg
 
Asee - Poleni sana. Mkula napafahamu sana hapo hadi nyakabindi.
 
R.I.P

Unahitaji kuwa Lissu kupangua hoja za Lissu
 
Back
Top Bottom