Elimu yenyewe yasikuhizi Magumashi sana Ajira Hakuna, Tunasoma Kupunguza UJINGA kichwani Hayo ma-GPA yatakusaidia nini? We kaza Fuvu Kusoma hili upate GPA za kuringishia mtaani.
Sawa mkuu shukrani,
Apo kwenye kuomba kazi mfano serikarini na wakati kusudi la Mungu ni uwe mfugaji. Ndo kimbembe.
Ila hapo Tuombe "mapenzi yako kwangu Yatimizwe iwe vile upendavyo/utakavyo"
Ahaa sawa nimekupata mkuu,
Ila yamkini pia Maombi yako hayapo kabisa kwenye historia ya biblia labda unaomba kazi, ama unaomba kufauru mtihani unaweza ukaomba huku uki-emphasize vipi??
Hapana, maombi ya sasa hayana kafara kama za zamani Ni maombi tu yakawaida na sadaka zetu sidhani kama uwa zinapiga kelele masikioni mwa Mungu kabisaa, sababu wengi hawatoi kwa Moyo wa kupenda na wengine hutoa hili waonekane kwa watu.
Unakuta kwa Daniel Alijifunua na akayafunga Makanwa ya Simba kwenye Tundu la simba wenye njaa, na wewe yamkini unasema Ajifunue kwako na unataka mtoto??? Mbona ni cases mbili tofauti??
Mkuu nashukuru sana kwa kunipa mwangaza, Apa nafikiri naanza kuelewa. Kumbe yamkini uwa tuna-emphasize Mungu wa Fulani kumbe sio Mungu wa kweli Muumba mbingi na nchi.
Barikiwa mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.