Idadi ya kesi na vitendo vya udhalilishaji hapa visiwani kwetu vinazidi kuongexeka inatia aibu nakutisha MZEE wa miaks 56 kumbaka binti wa miaka 6 yaani Ni hatarii
Uongo ambao si usahau alonambia mpenz wangu kuwa kwao kaja mchumba kumposa ila yeye amemkataa ila wazee wake wamemlazimisha akakubali nilipofanya uchunguzi nimegundua kwamba yye mwenyewe ndo ampeleka kwao akampose
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.