Tetesi: Tufanye njia zipi ambazo zitakomesha udhalilishaji wa kijinsia Zanzibar

shaaban376

Member
Feb 11, 2017
11
2
Idadi ya kesi na vitendo vya udhalilishaji hapa visiwani kwetu vinazidi kuongexeka inatia aibu nakutisha MZEE wa miaks 56 kumbaka binti wa miaka 6 yaani Ni hatarii
 
Serikali bado ipo busy kuzuiya watu wenye asili ya Bara huko Visiwani wasipate maendeleo, na kipindi cha ramadhan hata kwa harufu tu ikitoka nje ya nyumba yako unakamatwa. Yanatokea kila siku
 
Serikali bado ipo busy kuzuiya watu wenye asili ya Bara huko Visiwani wasipate maendeleo, na kipindi cha ramadhan hata kwa harufu tu ikitoka nje ya nyumba yako unakamatwa. Yanatokea kila siku
 
Wanakomaa na watu watakaokutwa wanakula kipindi cha mfungo kumbe kuna seriously issue kama hiyo. Duh Mungu atusaidie
 
Na hili jambo ni kunyima uhuru wa mtu mwenyezi mungu hapimi mema au mabaya kwa Kula mchana, staha ya kutokula hadharani kwa wasiofunga ni mhimu kuzingatiwa kwani kuna wagonjwa na sababu mbali mbali zinaweza kusababisha mtu asifunge
 
Ni ngumu kupata usawa wa kijinsia Zanzibar sababu ya dini nafikiri.

Dini ya kiislamu inawakandamiza sana wanawake.Utasikia wanasema wanawake wana haki zao ila siyo sawa na haki za wanaume.
Huyo aliyebaka binti wa miaka 6 bila shaka alitaka kuvunja ile rekodi ya kumbaka binti mdogo zaidi wa miaka 9.
 
Kama hujui matumizi ya hizo Prefix acha...

Sasa hii ni Tetesi kivipi!!??
 
Back
Top Bottom