very fair, kama kuna mdemocrasia, hakuna kama umungu amekupa uhuru wote wa kuchagua, la msingi tubu dhambi zako kwa kumaanisha kuacha ,kisha mpokee yesu awe bwana na kiongoizi wa maisha yako,atakupa uweza wa kuweza yote, usihangaike hata bila hiv kumbuka bado siku moja ungekufa tu,hivyo muhimu...