CHADEMA: Adui yetu ni CCM, sio mtu wala sio umaskini

CHADEMA: Adui yetu ni CCM, sio mtu wala sio umaskini

Picha iliyokuwa ikisamb
11701097_708975225896375_4029201601507629632_n.jpg
azwa na CHAGGADEMA miezi ka
11701097_708975225896375_4029201601507629632_n.jpg
dhaa iliyopita.
 
Kweli sasa naamin yale maneno ya mheshimiwa mmoja alisema kuna watu wanatumia makalio kufikiria wakati wanavichwa.
Ni kweli CDM waliwahi kusema EL ni fisadi, Sasa kama nyie magamba mniona ni kweli kwa nin hamjampeleka mahakamani tangu alipojiuzulu? nyie si ndiyo mna dola,takukuru na usalama wa taifa mbona hadi leo hamumkamat kama kweli mnaamin ni fisadi? Mnakuja hapa JF kulia lia tu eti CDM wamempokea, wewe ccm kinakuuma nini? Kama nyie mmekaa nae miaka yote bila kumshtaki basi yeye ni mtu safi. Mbona Liyumba, Mramba, Yona, etc mliwashitaki na wamefungwa? Mmeshindwa wenyewe sasa zamu ya UKAWA kuwauwa ccm kwa kumtumia lowasa
 
Le magambazzz
 

Attachments

  • 1438344305735.jpg
    1438344305735.jpg
    7.3 KB · Views: 102
Ccm sasa ni safi kabisa uchafu wote umeondoka Lowasa ndiyo alikuwa mchafu balaa.

aidha una mtikisiko wa ubongo au sijui ni kundi gani sijui ,,maana huwezi hata kuona tu kwa macho licha ya kufikiria,hao wanaoshikwa na kuhojiwa na takukuru ktk kura za uteuzi ccm ni usafi??????????????!!!!!!!! unatisha kwa upofu uliopofushwa na rushwa.
 
Kwa sasa mnasubiri kifo tu, Roho yenu (Dr SLAA) chadema inawatoka soon!
 
NAPE kaingiliwa, kila mtu ni katibu mwenezi sasa ila badala ya kukieneza chama chetu anaeneza maadui/wapinzani wetu UKAWA
 
Mwaka wa 52 huu ndani ya ccm ufisadi umepungua au umeongezeka ukiweza kunijibu hili bila.unafiki najinyonga.
hata km itafika mwaka wa 100 kama ANC CCM haina itikadi ya kila mtu awe tajiri km Reginald Mengi
Nachukia umasikini!! nataka Inji hii iwe na matajiri km Mengi 100 au Manji kwani huko Marekani ni matajiri' By Lowassa
ww unaona hayo ndio mawazo ya mtu timamu na CHADEMA wakayapokea kwa makofi
Ni Ulimwengu gani hauna masikini hata vitabu vya tabgu dahari wametajwa waliokuwa wakiokota makombo chini ya meza za matajiri????
Msimkufuru MUNGU kwaniyeye ndiye muumba wa wote na amepamga wanyoofu, maskini Wezi (mafisadi) nk
 
Katika hali isiyotarajiwa chama cha demokrasia na maendeleo kimekula matapishi yake baada ya kuanza kukana kauli zake ambazo ndio zimekijenga chama hicho miaka mingi sasa.

Kauli za kustua wengi hivi sasa ni pamoja na kusema kwamba wao wanapambana na CCM waitoe madarakani na sio wimbi la umasikini wa kipato unaomkabili mtanzania na kwamba sio watu kama Lowassa.

Kwamba Lowassa ni msafi na hana chembe ya doa.

Ndugu mtanzania. CHADEMA ni janga
Tulia Dawa Iingie Vizuri
 

Attachments

  • 1438348723699.jpg
    1438348723699.jpg
    9 KB · Views: 155
Katika hali isiyotarajiwa chama cha demokrasia na maendeleo kimekula matapishi yake baada ya kuanza kukana kauli zake ambazo ndio zimekijenga chama hicho miaka mingi sasa.

Kauli za kustua wengi hivi sasa ni pamoja na kusema kwamba wao wanapambana na CCM waitoe madarakani na sio wimbi la umasikini wa kipato unaomkabili mtanzania na kwamba sio watu kama Lowassa.

Kwamba Lowassa ni msafi na hana chembe ya doa.

Ndugu mtanzania. CHADEMA ni janga

Ni tatizo lako la mapokeo tu. Ungeweza ukaliangalia tofuti na hivyo na bado ukabaki kuwa kada wa CCM
 
Katika hali isiyotarajiwa chama cha demokrasia na maendeleo kimekula matapishi yake baada ya kuanza kukana kauli zake ambazo ndio zimekijenga chama hicho miaka mingi sasa.

Kauli za kustua wengi hivi sasa ni pamoja na kusema kwamba wao wanapambana na CCM waitoe madarakani na sio wimbi la umasikini wa kipato unaomkabili mtanzania na kwamba sio watu kama Lowassa.

Kwamba Lowassa ni msafi na hana chembe ya doa.

Ndugu mtanzania. CHADEMA ni janga

Ni janga ndo maana wenye akili zetu tunachagua mtu na si chama
 
Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi sana lakini watanzania bado ni masikini sana.
Kama alivyo sema Mwl Nyerere,kuwa ili nchi iendelee inahitaji watu,ardhi,siasa safi na uongozi bora.Ardhi tunayo,tena kubwa sana, watu pia tunao,tena wanaongezeka kila siku.
Siasa zetu bado zimeshindwa kutoa mwanya wa uongozi bora kwa sababu ya Ufisadi.Ufisadi umetawala kwenye siasa mpaka kwenye uongozi wa nchi.
Ufisadi haufanywi na chama bali wanachama wa chama husika.
CCM kama chama tawala kimeulea huu ufisadi na mpaka kinaonekana kuwa ni chama cha kifisadi.
Lakini kiukweli ufisadi wa CCM sio ufisadi wa taasisi bali viongozi wa taasisi.Ikitokea siku viongozi wa juu wa CCM waka amua kuwajibishana,CCM hakitakuwa chama cha kifisadi.
CHADEMA ni chama kinachojitahidi kupambana sana na UFISADI.Hata hapa si tu chama kinapinga ufisadi ila viongozi wa CHADEMA ndio haswaa walikuwa/wamekuwa wakali kwenye mambo ya kifisadi.
Ikitokea siku viongozi wa CHADEMA waka acha kupambana na ufisadi kwa sababu yeyote ile ikiwemo kukosa ushahidi wa kwendea mahakani na kurelux,CHADEMA kitakosa kuwa kinara wa kupinga UFISADI bali kitakuwa chama cha KIFISADI.
Hivyo ufisadi au usafi wa viongozi wa vyama vya siasa ndio unaleta picha ya chama fula kuwa cha kifisadi au la!
Hivyo ndugu zangu,naomba tuelewe kuwa adui mkubwa wa nchi hii ni ufisadi wa viongozi na sio chama flani na sisemi hivyo kujipendekeza CCM,la hasha! Nasema hivi nikiwa namsubiri Dr Slaa ajiunge na mwendelezo wa harakati za kuwaondoa viongozi mafisadi kupitia UKAWA.
Kwa sasa nina shauku kubwa ya kumsikia Dr Slaa kuliko mwanasiasa mwingine including Mh.Tundu Lissu,mbunge wangu!
 
Katika hali isiyotarajiwa chama cha demokrasia na maendeleo kimekula matapishi yake baada ya kuanza kukana kauli zake ambazo ndio zimekijenga chama hicho miaka mingi sasa.

Kauli za kustua wengi hivi sasa ni pamoja na kusema kwamba wao wanapambana na CCM waitoe madarakani na sio wimbi la umasikini wa kipato unaomkabili mtanzania na kwamba sio watu kama Lowassa.

Kwamba Lowassa ni msafi na hana chembe ya doa.

Ndugu mtanzania. CHADEMA ni janga
Na hapo hawajachukua dola, yanagonga chupi.
 
Tatizo vidato... Ukiindoa CCM inakuwa umefuta Ujinga, Umasikini, Ufisadi na Maradhi ya kuletewa... Unakuwa umefuta mikataba yote ya kishenzi ... Unakuwa umeokoa maisha ya Tembo... CCM ndo mama wa maovu yote ndani ya nchi hii ... Umeelewa????
Katika hali isiyotarajiwa chama cha demokrasia na maendeleo kimekula matapishi yake baada ya kuanza kukana kauli zake ambazo ndio zimekijenga chama hicho miaka mingi sasa.

Kauli za kustua wengi hivi sasa ni pamoja na kusema kwamba wao wanapambana na CCM waitoe madarakani na sio wimbi la umasikini wa kipato unaomkabili mtanzania na kwamba sio watu kama Lowassa.

Kwamba Lowassa ni msafi na hana chembe ya doa.

Ndugu mtanzania. CHADEMA ni janga
 
Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi sana lakini watanzania bado ni masikini sana.
Kama alivyo sema Mwl Nyerere,kuwa ili nchi iendelee inahitaji watu,ardhi,siasa safi na uongozi bora.Ardhi tunayo,tena kubwa sana, watu pia tunao,tena wanaongezeka kila siku.
Siasa zetu bado zimeshindwa kutoa mwanya wa uongozi bora kwa sababu ya Ufisadi.Ufisadi umetawala kwenye siasa mpaka kwenye uongozi wa nchi.
Ufisadi haufanywi na chama bali wanachama wa chama husika.
CCM kama chama tawala kimeulea huu ufisadi na mpaka kinaonekana kuwa ni chama cha kifisadi.
Lakini kiukweli ufisadi wa CCM sio ufisadi wa taasisi bali viongozi wa taasisi.Ikitokea siku viongozi wa juu wa CCM waka amua kuwajibishana,CCM hakitakuwa chama cha kifisadi.
CHADEMA ni chama kinachojitahidi kupambana sana na UFISADI.Hata hapa si tu chama kinapinga ufisadi ila viongozi wa CHADEMA ndio haswaa walikuwa/wamekuwa wakali kwenye mambo ya kifisadi.
Ikitokea siku viongozi wa CHADEMA waka acha kupambana na ufisadi kwa sababu yeyote ile ikiwemo kukosa ushahidi wa kwendea mahakani na kurelux,CHADEMA kitakosa kuwa kinara wa kupinga UFISADI bali kitakuwa chama cha KIFISADI.
Hivyo ufisadi au usafi wa viongozi wa vyama vya siasa ndio unaleta picha ya chama fula kuwa cha kifisadi au la!
Hivyo ndugu zangu,naomba tuelewe kuwa adui mkubwa wa nchi hii ni ufisadi wa viongozi na sio chama flani na sisemi hivyo kujipendekeza CCM,la hasha! Nasema hivi nikiwa namsubiri Dr Slaa ajiunge na mwendelezo wa harakati za kuwaondoa viongozi mafisadi kupitia UKAWA.
Kwa sasa nina shauku kubwa ya kumsikia Dr Slaa kuliko mwanasiasa mwingine including Mh.Tundu Lissu,mbunge wangu!

Ufisadi ni vitendo vinavyosadifiwa na mfumo Wa chama dola na kutekelezwa na viongozi na makada Wa ccm, kwa hiyo mtu mwenye akili timamu kabisa na nia njema na taifa hili, katu hawezi kutenganisha cha ccm na ufisadi! Huwezi! Usiwasafishe magambaz wachafu, wezi, mafisadi na majangili unless kama wewe ni mnufaika Wa mfumo Wa chama dola ccm! Gari likiacha barabara likagonga na kuua watu huwezi kulilaumu gari Bali dereva Wake! traffic atakuwa taahira akimuachia huru dereva akaenda kulihoji na kulifungulia mashtaka gari! The system operator must and should be held to account,give us break!! Ufisadi haukujizaa umeasisiwa very systematically, CCM NDIO ADUI MKUBWA WA TAIFA HILI, Tukifaulu KUITOKOMEZA CCM, VIONGOZI na MAKADA WAKE WOTE tutapata mwanzo mpya Wa kuelekea nchi MAMA TANZANIA tuipendayo. God Save my country.
 
Back
Top Bottom