Recent content by Sezariziki

  1. Sezariziki

    Here we Go-Mnyika na Nape live ITV

    jamani kinarudiwa lini hicho kipindi
  2. Sezariziki

    Sugu asahau kusaini dhamana

    :peace:
  3. Sezariziki

    James Millya na Ally Bananga hatufukuzwa CCM kama Juliana na Mwampamba walivyofukuzwa CHADEMA

    hao njaa zitaumiza vibaya sana aisee.....Mtela na Shonza ni mambumbu wasiojielewa.
  4. Sezariziki

    Waziri wa Nishati uko wapi?

    kwa hiyo wameshatangaza mgao
  5. Sezariziki

    Waziri wa Nishati uko wapi?

    Habari wana JF Ni karibu mwezi mzima sasa jimbo la Ubungo especially maeneo ya Kimara kumekuwa na mgao MKALI wa umeme tena bila hata tangazo lolote kwa wananchi.Hivi serikali ya CCM kwa staili hii bado mnasubiria chenu 2015 maana mlishatuahidi tatizo la umeme lita kuwa historia lakini sasa...
  6. Sezariziki

    Mangula, Msekwa wampinga Nape mgogoro Bukoba,mgogoro sasa wahamia CCM Taifa

    Aisee hiyo ngoma kali sana na Nape itamshinda kuicheza very xun.
  7. Sezariziki

    Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

    Hivi kabla yako ni nani alikuwa mkuu wa hicho kitengo na kama alikuwepo aliondoka kwa sababu gani? Na kama hakikiwa na mtu ni kwa nini?
  8. Sezariziki

    CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

    happa ndio Chadema tunaenda kuchukua halashauri yetu.
  9. Sezariziki

    CCM yapata aibu Babati

    Acha waaibike hao...wanafikiri wananchi wa leo ni wa enzi zileeeeee
  10. Sezariziki

    Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kibondo ajiuzulu

    Vipi na hizo taarifa za kujiuzulu unziafiki au.
  11. Sezariziki

    Kipigo cha ZANU-PF dhidi ya MDC Zimbabwe ni salaam tosha!

    Sera za upinzani za Zimbabwe ni tofauti sana na za kwetu lazima utambue hilo. Kwanza wale vibaraka wa wazungu nani anawataka?
  12. Sezariziki

    CHADEMA bye bye kata ya UBUNGO 2015.

    Mimi ni mkazi wa Ubungo na nipo ndani ya kata hii kwa zaidi ya miaka mitano sasa.Jambo la kusikitisha kuna mtu anaitwa Boniface ambaye ndiye diwani wetu lakini wananchi wa huku wameshasahau sura yake.Katika Uchaguzi uliopita naamini nguvu ya Chadema hasa Mh Mnyika ndio ilimpitisha. Wananchi hasa...
  13. Sezariziki

    Taarifa ya utekelezaji wa mbunge John Mnyika

    safi mbunge wangu
Back
Top Bottom