Habari wana JF
Ni karibu mwezi mzima sasa jimbo la Ubungo especially maeneo ya Kimara kumekuwa na mgao MKALI wa umeme tena bila hata tangazo lolote kwa wananchi.Hivi serikali ya CCM kwa staili hii bado mnasubiria chenu 2015 maana mlishatuahidi tatizo la umeme lita kuwa historia lakini sasa...
Mimi ni mkazi wa Ubungo na nipo ndani ya kata hii kwa zaidi ya miaka mitano sasa.Jambo la kusikitisha kuna mtu anaitwa Boniface ambaye ndiye diwani wetu lakini wananchi wa huku wameshasahau sura yake.Katika Uchaguzi uliopita naamini nguvu ya Chadema hasa Mh Mnyika ndio ilimpitisha. Wananchi hasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.