Taarifa ya utekelezaji wa mbunge John Mnyika

Taarifa ya utekelezaji wa mbunge John Mnyika

Kwa point hii ni vema wabunge wote watoe ukamilimishaji wa ahadi zao na hasa wa upinzani
 
Ofisi ya Mbunge Jimbo la Ubungo itakua inatoa taarifa kila wiki kupitia mitandao ya kijamii kuhusu taarifa ya utekezaji wa ahadi za mbunge wa ubungo, wakati huo huo ofisi inaendelea kuandaa kitabu cha taarifa ya utekeleza miaka miwili iliyopita. utakumbuka wakati mbunge akigombea mwaka 2010 alitumia agenda yake kuu ya AMUA-MASLAI YA UMMA KWANZA. neno AMUA lilisimama kwa maana ya;


A-Akili na Ajira
M-Miundombinu na Maji
U-Usalam na Uwajibikaji
A-Afya na Ardhi

leo ninaleta kwenu taarifa ya utekelezaji kwa kipengele cha AKILI kutoka kwy AMUA na namna alivyoweza kuisimamia serikali na kuishauri na hata michango yake ya moja kwa moja kwa mwaka wa 2012.

TAARIFA YA UTENDAJI YA MBUNGE KWA MWAKA 2012.

AKILI

06/05/2012 Mbunge alikabidhi vitabu vya kiada na ziada kwa Taasisi ya Maendeleo ya Ubungo (UDI)

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa kimara matangini kiasi cha 35,0000.00 kwa ajili ya kununulia vifaa vya mtoto wake vya shule.

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa kimara B Kiasi cha 100,000.00 kutoka katika mfuko wa elimu, kwa ajili ya mchango wa Ada.

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa Makuburi Kiasi cha 100,000.00 kutoka katika mfuko wa elimu, kwa ajili ya mchango wa Ada.

Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari ya Makoka (4), gharama Tsh.9,223,350.00

Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari ya Hondogo (4), gharama Tsh. 9,223,350.00

Ujenzi wa choo shule ya msingi ya millennia ya tatu gharama Tsh. 6,770,745.48

Ujenzi wa madarasa manne shule ya sekondari Kibamba (Retention) Tsh. 6,370,870.00

Ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari ya makurumla, gharama Tsh.90, 133,512.75

Ujenzi wa madarasa 4 katika shule ya sekondari ya king’ongo, gharama Tsh. 20,031,210.00

Ukamilishaji wa ujenzi wa nyumba 2 za walimu, katika shule ya mbezi luis, gharama Tsh.30,000,000.00 ujenzi
umekamilika.

Ujenzi wa choo cha wanafunzi katika shule ya msingi mianzini-makurumla, gharama 20,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ujenzi wa choo cha wanafunzi katika shule ya msingi msakuzi-kwembe, gharama 24,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ujenzi wa madarasa mawili 2 katika shule ya msingi msakuzi – kwembe, gharama 36,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi, katika shule ya msingi msigani- msigani, gharama 24,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi , katika shule ya msingi makuburi jeshini –makuburi, gharama 24,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi , katika shule ya msingi jitihada – kimara, gharama 24,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ukarabati wa madarasa matatu katika shule ya msingi mianzini, gharama 10,000,000.00 kazi imekamilika.

Idadi ya madawati yaliyopelekwa katika shule za msingi.
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Na [/TD]
[TD]Shule[/TD]
[TD]Idadi ya Madawati[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]1[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Millenia ya tatu-kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]65[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kimara Baruti-kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]27[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]3[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Saranga-Saranga[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]27[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]4[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kimara B-Saranga[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]5[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Jitihada- Kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]6[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Makabe-Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Msumi-Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]8[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mbezi Luis-Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]9[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mpakani- Kwembe[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]24[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]10[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mburahati- Mburahati[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]23[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]11[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Muungano-Mburahati[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]12[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kilungule – Kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]30[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]13[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kibesa – Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]50[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]14[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]King’ongo- Saranga[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]50[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]15[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Karume – Makurumla[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]08[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]16[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mavurunza-Kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]40[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]17[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mwongozo- Makuburi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]18[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Malamba Mawili-Msigani[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]49[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Upendo- Saranga[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]39[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]20[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mbezi na Ufundi- Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]48[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]22[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mianzini- Makurumla[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]29[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]JUMLA[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]580[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Manispaa ya kinondoni ilinunua maabara 10 zinazohamishika na kusambazwa katika shule za sekondari za kwembe, Matosa,Goba, Makurumla na Mabibo.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 8 katika shule ya sekondari king’ong’o- Saranga, gharama ya mradi Tsh. 160,279,000.55.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari ya Fahari-Goba, gharama ya mradi Tsh. 107,936,600.00.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari Goba ‘A’ – Goba, gharama ya mradi Tsh.68, 276,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari kwembe- Kwembe, gharama za mradi Tsh.65,860,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari malamba mawili – Msigani, gharama ya mradi 65,860,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari kiluvya- kibamba, gharama ya mradi Tsh.74,089,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari kibwegere-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.107,981,200.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari kibweheri- Kibamba, gharama ya mradi Tsh.107, 981,200.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Goba Mpakani- Goba, gharama ya mradi Tsh.36,044,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Makoka- Makuburi, gharama ya mradi Tsh.38,058,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Hondogo-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.33,139,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Gogoni-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.122, 735,800.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Kinzudi-Goba, gharama ya mradi Tsh.109,653,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari luguruni-Kwembe, gharama ya mradi Tsh.81,214,506.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari King’ong’o- Saranga, gharama ya mradi Tsh. 112,994,845.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari King’ong’o – Saranga, gharama ya mradi Tsh.67,356,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Mabibo phase 2 – Mabibo, gharama ya mradi Tsh.198,276,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 10 shule ya sekondari makurumla phase 2 – Makurumla, gharama ya mradi Tsh380,668,901.00
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]S/NA[/TD]
[TD]SHULE[/TD]
[TD]MEZA NA VITI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]1[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]Y.N MAKAMBA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]400[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]2[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MBURAHATI[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]200[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]3[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MANZESE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]4[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MAKURUMLA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]5[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KING’ONG’O[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]152[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]6[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MUGABE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]7[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KIBAMBA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]8[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MUGABE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]9[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]HONDOGO[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]10[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MAKOKA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]11[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MALAMBA MAWILI[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]12[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MABIBO[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]75[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]13[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KWEMBE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]14[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]TEMBONI[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]149[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]15[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MPIJI MAGOHE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]16[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KIBWEGERE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41, bgcolor: transparent"]17[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent, colspan: 2"]MBEZI IN[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41, bgcolor: transparent"]18[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent, colspan: 2"]MATOSA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Huko kwenye madawati yatasho sasa ageukie maji ambayo ni kero kwa wakazi wote wa Mbezi - Kimara, Kibamba
 
Piga Kazi Jembe Achana Magambaz Wanaosinzia....
 
Hizi pesa anatoa mfukoni kwake zinatoka kwenye serikali ya huyu rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyemwita ni mdhaifu?
 
Hizo pesa ni pamoja na pesa za marafiki zake?

Mkuu Kimbunga,
Lowassa ndiye huwa anatumia na pesa za marafiki zake. Mnyika anatumia pesa za mfuko wa jimbo tu. Sasa ujiulize CHADEMA wakiongoza halmashauri ya Kinondoni si watoto wote watasoma bure shule za serikali hadi form six na rafiki yangu Rejao na chama watasave hatimae wataezeka nyumba zao za boko na hatimae kuhamia na kuondokana na kero za nyumba za kupanga.

UBUNGO 2015 - MNYIKA ATOSHA.
 
Ngoja waje madogo wa Lumumba na buku saba zao walizolamba uone itakavyokuwa!!!!!
 
Mkuu Kimbunga,
Lowassa ndiye huwa anatumia na pesa za marafiki zake. Mnyika anatumia pesa za mfuko wa jimbo tu. Sasa ujiulize CHADEMA wakiongoza halmashauri ya Kinondoni si watoto wote watasoma bure shule za serikali hadi form six na rafiki yangu Rejao na chama watasave hatimae wataezeka nyumba zao za boko na hatimae kuhamia na kuondokana na kero za nyumba za kupanga.

UBUNGO 2015 - MNYIKA ATOSHA.

Mkuu TUMBIRI
pesa za mfuko wa jimbo kazitoa wapi? Kama kupanga nitapanga Ohio street sio Boko; viwanja bado vipo uwezo wa kujenga ninao nipange kisa chake nini? Mkuu Rejao kamanda TUMBIRI anafurahisha baraza!
 
Last edited by a moderator:
hakuna sehemu umeambiwa mbunge amefanya na hata katiba mbovu ya nchi haisemi mbunge anafanya bali mbunge amesimamia na kuishauri serikali (ibara 63 (2)) na huo ndio wajibu wake na ameutekeleza.

kumbe ni pesa za Serikali ya CCM? mwezi ujao atasema anajenga 'ubungo terminal'? atasema pia anajenga barabara za mabasi yaendayo kasi? ukiona mbunge anaenda halmashauri kunyofoa orodha ya miradi inayofanywa na Serikali kisha anakuja kuileta hapa jamvini ujue huyo amefilisika.
 
Piga Kazi Jembe Achana Magambaz Wanaosinzia....

kila mbunge akiamua kuleta orodha ya miradi ya jimboni kwake inayofanywa na serikali patakuwa hapatoshi hapa! any way anasadia kuitangaza serikali ya ccm inavyofanya kazi yake
 
wewe unaweka hii taarifa kama nani? kama kawaida yenu wachagga waliopo Halmashauri wanawaibia taarifa kisha mnaileta hapa mnajidai Mnyika amefanya?.....mwenye kufanya anaonekana bwana, haina haja ya kutupotezea muda. Mnyika afanye nini kutwa anarandaranda kudandia hoja.

uchagga umetokea wapi hapa??
 
kumbe ni pesa za Serikali ya CCM? mwezi ujao atasema anajenga 'ubungo terminal'? atasema pia anajenga barabara za mabasi yaendayo kasi? ukiona mbunge anaenda halmashauri kunyofoa orodha ya miradi inayofanywa na Serikali kisha anakuja kuileta hapa jamvini ujue huyo amefilisika.

Mnyika Atosha
 
kanzi nzuri Mnyika samahani naulizia ripoti ya mbunge wangu Mwigulu Lameki Nchemba Madelu na rafiki yake Livingstone Lusinde ipo wapi ?????????????????????????????????????????????????????


Hiyo sheria ya wananchi kumvua ubunge mbunge wao ni lini itapitishwa au taratibu zipoje ????????????????
 
wewe unaweka hii taarifa kama nani? kama kawaida yenu wachagga waliopo Halmashauri wanawaibia taarifa kisha mnaileta hapa mnajidai Mnyika amefanya?.....mwenye kufanya anaonekana bwana, haina haja ya kutupotezea muda. Mnyika afanye nini kutwa anarandaranda kudandia hoja.


Jinyonge kama umekasirika,
Mnyika anapiga،kazi pamoja na hujuma ya serikali ya magamba.
 
Ofisi ya Mbunge Jimbo la Ubungo itakua inatoa taarifa kila wiki kupitia mitandao ya kijamii kuhusu taarifa ya utekezaji wa ahadi za mbunge wa ubungo, wakati huo huo ofisi inaendelea kuandaa kitabu cha taarifa ya utekeleza miaka miwili iliyopita. utakumbuka wakati mbunge akigombea mwaka 2010 alitumia agenda yake kuu ya AMUA-MASLAI YA UMMA KWANZA. neno AMUA lilisimama kwa maana ya;


A-Akili na Ajira
M-Miundombinu na Maji
U-Usalam na Uwajibikaji
A-Afya na Ardhi

leo ninaleta kwenu taarifa ya utekelezaji kwa kipengele cha AKILI kutoka kwy AMUA na namna alivyoweza kuisimamia serikali na kuishauri na hata michango yake ya moja kwa moja kwa mwaka wa 2012.

TAARIFA YA UTENDAJI YA MBUNGE KWA MWAKA 2012.

AKILI

06/05/2012 Mbunge alikabidhi vitabu vya kiada na ziada kwa Taasisi ya Maendeleo ya Ubungo (UDI)

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa kimara matangini kiasi cha 35,0000.00 kwa ajili ya kununulia vifaa vya mtoto wake vya shule.

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa kimara B Kiasi cha 100,000.00 kutoka katika mfuko wa elimu, kwa ajili ya mchango wa Ada.

04/09/2012 Mbunge amemchangia mkazi wa Makuburi Kiasi cha 100,000.00 kutoka katika mfuko wa elimu, kwa ajili ya mchango wa Ada.

Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari ya Makoka (4), gharama Tsh.9,223,350.00

Ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari ya Hondogo (4), gharama Tsh. 9,223,350.00

Ujenzi wa choo shule ya msingi ya millennia ya tatu gharama Tsh. 6,770,745.48

Ujenzi wa madarasa manne shule ya sekondari Kibamba (Retention) Tsh. 6,370,870.00

Ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari ya makurumla, gharama Tsh.90, 133,512.75

Ujenzi wa madarasa 4 katika shule ya sekondari ya king’ongo, gharama Tsh. 20,031,210.00

Ukamilishaji wa ujenzi wa nyumba 2 za walimu, katika shule ya mbezi luis, gharama Tsh.30,000,000.00 ujenzi
umekamilika.

Ujenzi wa choo cha wanafunzi katika shule ya msingi mianzini-makurumla, gharama 20,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ujenzi wa choo cha wanafunzi katika shule ya msingi msakuzi-kwembe, gharama 24,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ujenzi wa madarasa mawili 2 katika shule ya msingi msakuzi – kwembe, gharama 36,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi, katika shule ya msingi msigani- msigani, gharama 24,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi , katika shule ya msingi makuburi jeshini –makuburi, gharama 24,000,000.00

Ujenzi wa choo cha wanafunzi , katika shule ya msingi jitihada – kimara, gharama 24,000,000.00 ujenzi umekamilika.

Ukarabati wa madarasa matatu katika shule ya msingi mianzini, gharama 10,000,000.00 kazi imekamilika.

Idadi ya madawati yaliyopelekwa katika shule za msingi.
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]Na [/TD]
[TD]Shule[/TD]
[TD]Idadi ya Madawati[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]1[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Millenia ya tatu-kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]65[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kimara Baruti-kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]27[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]3[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Saranga-Saranga[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]27[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]4[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kimara B-Saranga[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]5[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Jitihada- Kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]6[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Makabe-Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Msumi-Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]8[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mbezi Luis-Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]9[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mpakani- Kwembe[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]24[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]10[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mburahati- Mburahati[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]23[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]11[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Muungano-Mburahati[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]12[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kilungule – Kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]30[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]13[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Kibesa – Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]50[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]14[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]King’ongo- Saranga[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]50[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]15[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Karume – Makurumla[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]08[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]16[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mavurunza-Kimara[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]40[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]17[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mwongozo- Makuburi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]18[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Malamba Mawili-Msigani[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]49[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Upendo- Saranga[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]39[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]20[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mbezi na Ufundi- Mbezi[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]48[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"]22[/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]Mianzini- Makurumla[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]29[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 48, bgcolor: transparent"][/TD]
[TD="width: 291, bgcolor: transparent"]JUMLA[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent"]580[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Manispaa ya kinondoni ilinunua maabara 10 zinazohamishika na kusambazwa katika shule za sekondari za kwembe, Matosa,Goba, Makurumla na Mabibo.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 8 katika shule ya sekondari king’ong’o- Saranga, gharama ya mradi Tsh. 160,279,000.55.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari ya Fahari-Goba, gharama ya mradi Tsh. 107,936,600.00.

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari Goba ‘A’ – Goba, gharama ya mradi Tsh.68, 276,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari kwembe- Kwembe, gharama za mradi Tsh.65,860,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari malamba mawili – Msigani, gharama ya mradi 65,860,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari kiluvya- kibamba, gharama ya mradi Tsh.74,089,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari kibwegere-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.107,981,200.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari kibweheri- Kibamba, gharama ya mradi Tsh.107, 981,200.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Goba Mpakani- Goba, gharama ya mradi Tsh.36,044,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Makoka- Makuburi, gharama ya mradi Tsh.38,058,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari ya Hondogo-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.33,139,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Gogoni-Kibamba, gharama ya mradi Tsh.122, 735,800.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Kinzudi-Goba, gharama ya mradi Tsh.109,653,400.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari luguruni-Kwembe, gharama ya mradi Tsh.81,214,506.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari King’ong’o- Saranga, gharama ya mradi Tsh. 112,994,845.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 4 shule ya sekondari King’ong’o – Saranga, gharama ya mradi Tsh.67,356,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 6 shule ya sekondari Mabibo phase 2 – Mabibo, gharama ya mradi Tsh.198,276,000.00

Ujenzi wa vyumba vya madarasa 10 shule ya sekondari makurumla phase 2 – Makurumla, gharama ya mradi Tsh380,668,901.00
[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="colspan: 2"]S/NA[/TD]
[TD]SHULE[/TD]
[TD]MEZA NA VITI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]1[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]Y.N MAKAMBA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]400[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]2[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MBURAHATI[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]200[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]3[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MANZESE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]4[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MAKURUMLA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]5[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KING’ONG’O[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]152[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]6[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MUGABE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]7[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KIBAMBA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]8[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MUGABE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]100[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]9[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]HONDOGO[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]10[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MAKOKA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]11[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MALAMBA MAWILI[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]12[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MABIBO[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]75[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]13[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KWEMBE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]14[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]TEMBONI[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]149[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]15[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]MPIJI MAGOHE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 45, bgcolor: transparent, colspan: 2"]16[/TD]
[TD="width: 263, bgcolor: transparent"]KIBWEGERE[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41, bgcolor: transparent"]17[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent, colspan: 2"]MBEZI IN[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 41, bgcolor: transparent"]18[/TD]
[TD="width: 267, bgcolor: transparent, colspan: 2"]MATOSA[/TD]
[TD="width: 287, bgcolor: transparent"]150[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Halafu watu mnaleta longo longo humu JF kuwa serikali ya CCM haiwajali watu wake. Hizi hela zote zimetoka kwenye mfuko wa jimbo ambao ulianzishwa na serikali na pesa wana toa wao. Serikali ya JK ndio serikali iliyowatendea mema mengi watanzania kuliko zote
 
Back
Top Bottom