Recent content by severinembena

  1. severinembena

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna wimbo wa dini wa kitambo kidogo unahusu Mama mwenye ugumba,anamuomba Mungu amsaidie. Mwenye kuwa nao au kuufahamu naomba anisaidie
  2. severinembena

    Mambo ya kutisha kuhusu Mamelod Sundowns "Masandawana"

    Cha ajabu ktk timu Yao msimu huu ktk CCL hakuna anayemfikia Pacome Kwa takwimu
  3. severinembena

    TV ya Azam Sasa rasmi kutangaza pombe hadharani

    Simba na yanga wanapokuwa na wadhamini wachezesha kamari kama mbet au wakishiriki ligi yenye wadhamini kama tbl inakuwaje? Huwa unashabikia hizo timu?
  4. severinembena

    Simba Yanga kesho hakuna mbabe

    Karibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi na NEC amesema Chama Cha CCM kitanunua Kila goli Kwa ng'ombe mmoja jike au dume. Hivyo tutarajie uwepo wa magoli [emoji1][emoji1]
  5. severinembena

    Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

    Naam hii ndio jf bwana hakunaga mnyonge wote ni matajiri na watoto wa mjini hatari
  6. severinembena

    Arusha: Dereva wa Serikali aenda na maiti bar

    Kama ni kweli basi ni unyama sana. Sioni shida Kwa kwenda huko na marehemu ila masikitiki yangu ni Kwa ndugu waliokalishwa kumsubiri dereva amalize kuangalia Mpira ndipo waendelee na safari. Au usikute dereva na ndugu hao walikubaliana na wote walienda kuangalia mpira ila mleta mada kaamua tu...
  7. severinembena

    Israel leo yapiga vibaya Gaza, Ukingo wa Magharibi na Syria huku Marekani ikipeleka ndege 45 za silaha nchini humo

    Kelele zetu hazisaidii, Cha msingi tuombe yasitutokee sisi ila wao tuache watwangane Hadi atakayeshindwa aombe poo!
  8. severinembena

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwa Nini? Na Kwa Nini siyo Jasim?
  9. severinembena

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Kuliko wale wapuuzi wa Dubai huyu apewe bandari na mito na maziwa yetu yote
  10. severinembena

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    1. Max day 2. Aliyefungua ukurasa ni Max 3. Anavaa jezi namba 7 4. Kafunga dakika ya 7
  11. severinembena

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Siyo mzito,shida yake ipo kwenye kujiweka kwenye maeneo ya ufungaji, kumsoma mwenzake akiwa na mpira na kunusa mipira inayozagaa golini Kwa adui. Amekuwa muhangaikaji zaidi kuliko uchu wa magoli. Apewe muda mana energy yake Bado ni kubwa kwenye timu yetu
  12. severinembena

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Yaani ndani moto nje moto,unaamua ukae tu ulipo kifo kikukutie hapohapo
Back
Top Bottom