Ahadi za kijingajinga za kutaka kuruhusu gongo, viwanda nchi nzima ndani ya mwaka mmoja ni upuuzi ambao watanzania werevu wanajua kuwa ni uongo hata kama watakushangilia.
Niliamua kubadilisha channel. Hana ufahamu wa kutosha kuhusu masuala mapana ya kile anachokizungumzia. Ila ninachokumbuka kuhusu yeye ni kwamba alikuwa Msanii wa kundi la KAOLE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.