Recent content by SEPO

  1. S

    Natafuta kazi kufundisha bookeeping,commerce,accountancy na economics

    Mimi ni mwalimu nahitaji kazi ya kufundisha masomo yote ya biashara katika shule za sekondari O''level na A'' level wasiliana na mimi kupitia no 0755437366 nipo mbeya kwa sasa
  2. S

    Naomba msaada mashine yangu niliagiza China imefika Bandari ya Dar

    Tafadhali naomba msaada kwa yeyote aliyeko Dar, mashine yangu ya kutotolesha vifaranga (incubator ) niliagiza mwezi 5 ilifika dar mwezi 7! Je ni kweli bandari wanaweza kuiuza kwa kutoikomboa? Tafadhali naomba mnisaidie nifanyaje? Agent wangu amesema hawezi kuitoa baada ya mimi kulipia na...
  3. S

    Nahitaji kujua bei ya POWER TILA mpya kwa sasa

    ingia kwenye alibaba afu check bei zake mle afu import it simple sana vifaa vya kilimo mara nying pale bandarini ni free au vina exemption fulani bana usiogope nenda tra ulizia kama iyo tracta ndogo ina kodi kiasi gani
  4. S

    Labour court rules

    iyo kitu nammi natafuta sana sanaaaaaaaa
  5. S

    Msaada labour court rule 2007 gn 106

    Tafadhali wanajamvi naombeni nisaidieni gn.106 labour court rules 2007
  6. S

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Msaada wa labour court rules 2007 gn no 106 please please mkuu
  7. S

    Naomba wanasheria au wadau wa sheria nipate labour court rules ,,gn 106

    Tafadhali naomba nipate gn 106 or labour court rule please wana jamvi
  8. S

    Tanzania Leads Africa in Financial Inclusion

    Escrowww noma the country leads also to public fund thefts
  9. S

    Huyu ndie bilionea namba moja Tanzania

    Umemsahau wazee wa IPTL na ESCROW account
  10. S

    Kuwashtaki Teachers Junctions kwa utapeli Mbeya

    Wadau wote mlio wahi tembelea teacher'junction Mbeya na wote mlio tapeliwa pale mbeya kwa kutoa Pesa na,vyeti,cv kujiandikisha pale kwaajili ya kuunganishwa na waajiri shule mbali mbali zoezi hilo halikufanyika na majibu yake MAKAO MAKUU WANADAI WAMEFUNGA TAWI NA MAAFISA WAO WALIO LAGHAI WATU...
  11. S

    Course ya conflict resolution and mediation

    Nikoz nzuri unaajiriwa na cma yaani wazara ya kazi kitengo cha kutatua migogoro ya kazi unakua either mediator au arbitrator
  12. S

    Sumaye: Wasomi Tanzania ni tegemezi

    Maabara ndooo tunajenga kwa kasi sasa mnatakanini?
  13. S

    Biashara ya kisasa ya internet marketing

    NImeku-pm tayari nijuze mwana tafadhali naomba leo leo mkuuu
  14. S

    Nafasi ya kufundisha masomo ya Biashara

    Mkuu ishu ya mshahara bei gani kwa mwezi yaani (salary per moon)
Back
Top Bottom