MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,040
- 859
Kwa wale wote wenye sifa na uwezo wa kufundisha masomo ya bookkeeping na commerce kwa O LEVEL tangazo hili lawahusu.
Shule ipo mkoani Dodoma wilaya ya Kondoa(ipo mjini) na ni ya binafsi na ni ya kutwa na bweni. Inatafuta mtu yeyote mwenye sifa za kufundisha masomo tajwa hapo juu.
1. Awe na shahada ya ualimu wa masomo ya biashara kutoka chuo kinachotambulika na serikali.
2. Awe mwenye maadili na haiba ya ualimu.
3. Uzoefu wa kufundisha wa angalau mwaka mmoja au zaidi.
Wenye fani nyingine za biashara pia watafikiriwa ikiwa watakuwa na vigezo
Shule inatoa malazi yenye umeme na maji, lunch na breakfast ukiwa kazini.
KWA MAELEZO ZAIDI KWA MWENYE SHIDA AJE PM
Shule ipo mkoani Dodoma wilaya ya Kondoa(ipo mjini) na ni ya binafsi na ni ya kutwa na bweni. Inatafuta mtu yeyote mwenye sifa za kufundisha masomo tajwa hapo juu.
1. Awe na shahada ya ualimu wa masomo ya biashara kutoka chuo kinachotambulika na serikali.
2. Awe mwenye maadili na haiba ya ualimu.
3. Uzoefu wa kufundisha wa angalau mwaka mmoja au zaidi.
Wenye fani nyingine za biashara pia watafikiriwa ikiwa watakuwa na vigezo
Shule inatoa malazi yenye umeme na maji, lunch na breakfast ukiwa kazini.
KWA MAELEZO ZAIDI KWA MWENYE SHIDA AJE PM