"Amesema haiwezi watu wakawa wanauawa hovyo na kukawa shwari kama kulivyo, watu wangepiga kelele kwa sauti"
Kweli kabisa....maana yako ipo hapa ndugu kiongozi....ushwari huu nawe unaushangaa ila kwa nafasi yako huwezi kuwaambia wafanye nini. Kazi kwetu wabongo
Ungegundua kuwa nilichopata ni baada ya kutafakari maoni mbalimbali yanayotolewa na watu hivyo, nimepata maarifa kuwa wapo wapiga kelele kwa maoni yao na watoa maarifa kwa maoni yako
"Cash and classified information".......Mimi naanzia hapa hapa....somebody involved wanted not the mission to successed
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuhuma za uongo zinawezaje kumliza mtu?! Kulia kunavuta huruma tu lkn pia kunatoa maana nyingine kuwa umezidiwa (na hali inayoendelea ndani ya nafsi) wakati njia ya kuishinda hali hiyo ilikuwa ni kufunua ukweli ili nafsi ipate wepesi. Lkn kwa hili linavyoendelea litazaa vilio kila siku na tatizo...
Dah! Yaani hujaeleweka na wote hawa! Jamani wandugu maana yote ya Pascal ipo hapa: "....jinyamazie tuu kimya, ule msemo wa 'tell the truth and the truth will set you free' ni msemo wa uongo". Maana yake ni kinyume kabisa na kumsihi eti aendelee kuwa kimya kwani mayalla anamuonya kuwa kwa kuwa...
Hongera Barnaba. Time yako radio mawingu ume win na kuonyesha maisha ya ukweli na sio haya ya maigizo. Wanaoijadili picha waache waijadili weee but you're the overcomer.
A good man stand with his family at any cost.
Nihisi ni ile ya kuzika juu ya makaburi mengine ndio anamaanisha kuwa tai anakuja kujiokotea mizoga ktk hayo makaburi. Ila kwann ni misalaba (makaburi ya wakristo? ) hapo sina jibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.