Kigoma waliwai kupata mtu makini saana pale NIDA alikuwa anaitwa GODWIN ODONYO ulikuwa ukimzingua mnazichapa alafu huduma inaendelea kama kawaida
Na Sasa hivi naona Wana mtu mwingine makini saana kiukweli kigoma wamependelewa kupata wafanyakazi Wa NIDA makini saana na wanaupendo
Kuna Binti yupo field TASAC kaanza juzi Jana akawa ananilalamikia kuwa anapewa kazi nyingi saana
Kwa course yako jitahidi next time uende
TPA -kigoma,Mtwara
TASAC
Tashico-mwanza
Ndio Ruvuma aridhi ni nzuri kweli tatizo Sina hata huo mtaji Wa kuanzia kilimo ndio shida ila mwaka huu nimelima heka mbili msimu ujao nitalima heka 3-5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.