Recent content by SENIOR TEACHER

  1. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania KERO NIDA Muleba wanatusumbua Watumishi wa Umma kufanya maboresho, wengi wao hawana Customer care nzuri

    Kigoma waliwai kupata mtu makini saana pale NIDA alikuwa anaitwa GODWIN ODONYO ulikuwa ukimzingua mnazichapa alafu huduma inaendelea kama kawaida Na Sasa hivi naona Wana mtu mwingine makini saana kiukweli kigoma wamependelewa kupata wafanyakazi Wa NIDA makini saana na wanaupendo
  2. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Kwani field wanachuo huwa tunaenda kufanya nini?

    Kuna Binti yupo field TASAC kaanza juzi Jana akawa ananilalamikia kuwa anapewa kazi nyingi saana Kwa course yako jitahidi next time uende TPA -kigoma,Mtwara TASAC Tashico-mwanza
  3. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Tusipotoshe hoja ya Ngurumo

    Na sisi walimu tupewe teaching Allowance Pesa ya vumbi ya chaki Pesa ya nauli Pesa ya Kodi Nk
  4. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Tanzania: United for Peace & Sovereignty

    NI kimalkia hichi ?
  5. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Walimu wa kujitolea Shule za Msingi, Sekondari - Morogoro waboreshewe maslahi, malipo hayaendani na hali halisi ya sasa

    Ni AIBU kwa msomi kujitolea wakafanye mishe zingine tu hawa ndio wanafanya uhaba usionekane
  6. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Nimetembea Kilometa 80 kwenda shule

    Anaitwa Comical Ali Al Msigwa Tariq aziz
  7. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Bado kuna siri hatujaijua kuhusu uwepo wetu hapa duniani

    Tupo kumuabudia Mungu
  8. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya mwalimu wa masomo ya sanaa dhidi ya mwalimu wa Sayansi

    ASante saaana kwa ushauri huu na nitaufanyia kazi kwa uhakika
  9. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya mwalimu wa masomo ya sanaa dhidi ya mwalimu wa Sayansi

    Najitahidi kutokukata tamaa lakini wap msoto ni mkali
  10. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Shetani hana Rafiki: Vunjabei apingwa Ismani

    Kiswaga anafaa
  11. SENIOR TEACHER

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya mwalimu wa masomo ya sanaa dhidi ya mwalimu wa Sayansi

    Ndio Ruvuma aridhi ni nzuri kweli tatizo Sina hata huo mtaji Wa kuanzia kilimo ndio shida ila mwaka huu nimelima heka mbili msimu ujao nitalima heka 3-5
Back
Top Bottom