Ndio Ruvuma aridhi ni nzuri kweli tatizo Sina hata huo mtaji Wa kuanzia kilimo ndio shida ila mwaka huu nimelima heka mbili msimu ujao nitalima heka 3-5
Kuna privet moja nilipata kazi mkuu Wa shule tu alikuwa anadaiwa madeni lukuki kuanzia walimu mpaka wanafunzi wanamdai kibaya zaidi alikuwa anadaiwa mpaka na wale waturuki wauza vyombo wakawa wakija kumdai anaingia juu ya dar za OFISI yake
Sio kweli walimu Wa art siku hizi Wana kazi nyingi kuliko walimu Wa sayansi Kuna rafiki yangu yupo Lindi anasema shuleni kwao Kuna wanafunzi 800+
Walimu Wa phy wapo wawili wanayamudu madarasa na Wana vipindi 4 kwa wiki
Siku hizi unakuta form one wapo wanafunzi 300 alafu wanaosoma sayansi...
Mimi ni mwalimu wa masomo ya art na nimehitimu degree mwaka 2016 katika chuo kimoja mkoani Tabora.
Binafsi ningependa kutoa uzoefu wangu kama mwalimu wa masomo haya dhidi ya wenzetu wa sayansi, nikimtolea mfano mdogo wangu ambaye ni mwalimu wa physics na chemistry.
MDOGO WANGU (PHY na CHEM)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.