Wewe nawe ni wale wale utoporo msokuwa na akili. Sasa usajili wa hiyo timu wakati wanacheza na Biashara ndo huo huo wa sasa? Msimu huu wana usajili wa bilioni 10 na simba wana wa 7 bilioni. Kweli utoporo hamna akili
Katika karne tuliopo, teknolojia inatumika kwa kiwango kikubwa katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya biashara. Teknolojia imekuza sekta hii kwa kutoa huduma kwa haraka, ufanisi na kwa gharama nafuu.
Pamoja na faida lukuki za teknolojia katika nchi yetu, katika upande wa kibiashara, sekta hii...
Ulinzi na usalama kwa watoto ni jambo ambalo jamii yetu ya sasa hailichukulii kwa uzito mkubwa licha ya kusikia katika vyombo vya habari, asasi za kutetea haki za watoto pamoja na kushuhudia wenyewe katika jamii zetu jinsi ulinzi na usalama kwa watoto ulivyo mdogo katika kizazi chetu cha sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.