Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,595
- 5,486
Mtafutie yaya Buza, Tandale au Mwananyamala. Umpeleke mtoto ashinde huko asubuhi hadi jioni. Ninakuhakikishia baada ya miezi mitatu atakuimbia nyimbo zote za Diamond.
Mtafutie yaya Buza, Tandale au Mwananyamala. Umpeleke mtoto ashinde huko asubuhi hadi jioni. Ninakuhakikishia baada ya miezi mitatu atakuimbia nyimbo zote za Diamond.
UsonjiAutism
Mbona kwa.mtoto hilo sio tatzo kwa.sababu mtoto anapozaliwa uzito wake huongezeka mara mbili ya aliozaliwa nao baada ya miez mitatu na mara tatu ya uzto aliozaliwa nao baada ya miez 6 so ni kawaida, na next time zitakaposhindwa kuongezeka au kushuka utuambie sawa.naomba kuuliza,mtoto alizaliwa na kilo 3 na point 2,kliniki yake ya kwanza akawa na kilo 5 point 3,na kliniki yake ya pili akawa na kilo 8 point 2,je kwa ongezeko ilo la kilo 2 ndani ya mwezi na ongezeko la kilo 3 mwezi unaofuata ni sawa mtoto kwa sasaivi ana miezi miwili na nusu