Habari wa JF,
Naomba msaada wa kisheria nifanyeje hili swala.
Niliomba mkopo bayport tar 25/4/2024 na makato yakapita kwa utumishi tar 2/5/2024 cha ajabu up to now hawajaingiza hela kwenye account licha ya kuwa mwez huu tayari hela wameshanikata pale napofanya nao mawasiliano wananipa...
Kosa kubwa sana ulifanya kwenda kupokea simu nje bora ungepunguza sauti upokeee pale pale ila hata biblia inasema hawa viumbe tuishi nao kwa akili so hapo kama kweli unampenda kuwa mpole hakuna mkate mgumu mbele cha chai na uchawi wa mwanamke nk hela siyo kuongea sana then life litasonga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.