Wale shida zao ni lack of civilization na power struggle kwa kuwa ndani ya Tanzania hayo matatzo mawili yote yangekuwa solved at once kwa kuwafanya wawe civilized kwa kuachana na mambo ya ukabila na kujichanganya na zaid ya makabila 120 kama tulivyo sisi Tz kwa sasa pili kuhusu power struggle...
Tanzania tulifanya kosa kubwa saana kuacha kuzichukua Rwanda na Burundi after independence ili kuirudhisha mipaka yetu ya awali (Germany east Africa) ilyokuwa no tanganyika rwanda na burundi ambapo baada ya vita vya kwanza vya dunia Tanganyika alipewa Muingereza na Rwanda na burundi akapewa...
Kusema Kinshasa ni zaid ya dar ni either huijui dar au huijui Kinshasa.
kilichokuchanganya ni hyo inaitwa Gombe avenue,Kinshasa ni mji mkubwa saana na kuna watu wengi saana ila kimaendeleo haipasogelei dar hata kidogo,umeme tu ni mtihani mji mzima umejaa majenereta kama Lagos,watu ni masikin...
1.Watu wa bunju vita yenu kwa sasa haipaswi kuwa daladala za bunju-kariakoo/kivukoni bali vita na mapambano yenu kwa sasa yanapaswa kuhakikisha miundombinu ya mwendokasi inafika hadi bunju mwisho badala ya ilivyopangwa sasa kuishia tegeta hii ndio solution ya kudumu maana very soon,hizo route...
Kitu watu wasichojua ni kuwa kati 10 most worst slums in afrika 4 are in Nairobi,kwa afrika mashariki Nairobi ndo mji wenye street children and omba omba wengi kuliko mji wowote ule hadi hii leo 2023 Nairobi bado kuna nyumba nyingi tu za tope,hapo sijazungumzia usafi Kwa majiji yaliyotuzunguka...
Kuna nini kipya hadi kozi imeongezwa muda kufikia mwaka mmoja? Ni darasa zaid au field training ndo imeongezwa maana tpdf RTS+Level 3 it's around 8 months polisi Kuna nini cha ziada hadi kuwa mwaka mzima???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.