Wabongo bwana kila kitu mwekezaji yaani mpaka vichwa vyao vinahitaji mwekezaji yaani tayari washasahau kuwa el kalihujumu taifa lao kwakiasi kikubwa,leo watu wanampigia debe aende magogoni .
Mkuu wasilamu hawana thamani hapa duniani,hii dunia ya wagalatia na free mason tu,ndiyo maana wakiuwawa utasikia kila chimbo cha habari hapa ulimwenguni.
Anae faa kuwa raisi wa nchi kwa sasa ni profesor lipumba tu,vigezo anavyo na kutokana na uchumi wa nchi ulivyo kwa sasa,na deni la taifa lilivyopanda tunahitaji mchumi kurekebisha hali hii haraka iwezekanazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.