Wewe unajua hilo Gari anataka kufanyia nini? Au ndo kama kawaida ya wabongo kuhukumu pasipo kujua chanzo na sababu za mtu. Kasema anataka 10M akanunue Gari yeye ni mtu mzima anajua kwanini anataka hilo Gari pia tuache kujudge mawazo ya watu
Sent from my SNE-LX1 using JamiiForums mobile app
Hahahahaha kila mtu ana jifanya ana jua maana ya finance ndo maana Gari lina weza kuwa asset au liability inategemea unafanyia nini lakini haja sema hapo hilo Gari ana mpango nalo gani. Tatizo watu bado tunayo ile dhana ya watu wa kale kwamba Gari sio muhimu bado hamjui kazi ya mtu husika na...
IST 1ltr ikiwa mpya kama hyo unayoagiza ww.. itasukuma mpka 15Km… na kama njin kwny Jum.. bhass ikishuka ni 12 Km.. na uber 12Km X 450 = 5400tsh apo una lita mbili.. na sijajumuisha muda utakaotumia.. maana UBER unalipwa interms of Time and Distance..
Kreti la soda moja linauzwa 10,000/- na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.