Recent content by selina rose

  1. selina rose

    Nafurahia mapenzi nikiwa na binamu yangu kuliko mume wangu

    Niaje guys? Hope ur good. Kuna cousin wangu ambae ni mtoto wa shangazi yangu, nimelelewa, kusoma na kukua kwao, nilienda hapo nikiwa std two baada ya baba kufariki, wazazi hawakua na ndoa, walipena tu mimba kama marafiki, mama alirudi mkoani kwao na amekua akiishi huko miaka yote Nikiwa form...
  2. selina rose

    Wananchi wa Uturuki wamegoma kuingizwa mkenge kama wa Libya

    Maelezo yako ni too general, wewe mwenyewe umedai tusubiri tuone sequence of events, meaning hadi sasa hakuna ushahidi wowote hata ule wa indirectly wa involvement ya marekani, kinachozungumzwa na wengi ni just assumptions based on previous coups in other countries, but there is no direct...
  3. selina rose

    Wananchi wa Uturuki wamegoma kuingizwa mkenge kama wa Libya

    Mkuu naamini marekani ingeamua kweli kupanga na kutekeleza coup deta't hiyo isingeshindikana, ni wazi ingefaulu Hadi sasa hakuna ushahidi hata ule wa mazingira tu unaoonesha marekani imehusika, edogan pia hajatamka hivyo, kilichopo tu ni kuwa Kuna mfanyabiashara maarufu nchini turkey ambae...
  4. selina rose

    Startimes yatoa ufafanuzi kuhusu kuonekana chaneli za nyumbani

    Samahani mkuu, wewe ni sehemu ya startimes? Declare interest Pls
  5. selina rose

    Uholanzi kufunga Magereza 19 kwa ukosefu wa wafungwa

    Nchi za magharibi ziko mbali sana kimaendeleo, itachukua miaka mingi sana kwa pande zingine za ulimwengu kuweza kuchukua nafasi ya kutawala dunia, Karibu magereza mengi ya nchi za magharibi yapo hivyo, ni mazuri kwa muonekano, huduma zote muhimu zipo, wafungwa wanalala wawili wakizidi ni...
  6. selina rose

    Osama bin Laden’s son vows revenge against US for killing his father

    Nimesema una Uhuru wa mawazo, Hiyo ni kukubaliana na wewe? Aisee kumbe una tatizo kichwani sio hivi hivi Nimekujibu una Uhuru wa mawazo hata kama ni ya kipumbavu, ni mawazo yako, hukuelewa maana yake?
  7. selina rose

    Osama bin Laden’s son vows revenge against US for killing his father

    Yeye atafute maisha yake, ajiendeleze kielimu, njia anayoichagua haitamsaidia, njia hiyo imewapeleka kubaya wengi, his father had a very sad ending, huwezi kuibuka mshindi katika vita hiyo hata ukiua watu million, baba yake ulimwengu mzima ulimuona shujaa, lakini kwa kadri miaka ilivyozidi...
  8. selina rose

    Mtanzania anaswa na kilo 10 za 'unga' nchini India

    Yaani watu bado wanafanya hiyo kazi?
  9. selina rose

    Mke wa rafiki yangu anafanya mapenzi kinyume na maumbile

    Ngoja ya ngoswe tumuachie ngoswe
Back
Top Bottom