Recent content by Seleman Chotamawe

  1. S

    Nape ulipigania chama kwa msukumo wa posho nene uliyolipwa na si kutokana na mahaba ya dhati kwa CCM

    Naunga mkono mtoa mada. Wakati wa uchaguzi wanachama wa CCM wote wenye nia safi kwa cha chao walitumia muda wao mwingi na rasilimali zao kwa kukitetea chama bure. Wajumbe wa mtaa na wakereketwa waliteseka na kuumia wengine kuuawa kwa ajili ya kulinda chama. Tujikumbushe ndugu yetu Kessi...
  2. S

    Mgombea ubunge Afrika Mashariki, kweli kuna watu wameumbwa, nimeamua kumpigia kampeni Fancy Ikuhi

    Hapo Shonza hafiki hata kidogo. Lakini akakutane na Majaluo oh hatari atachoka tu.
  3. S

    Ombi kwa Bernard Membe

    Jamani Mzee Edo bado anadai. Tusimkatishe tamaa bado tun miaska mitatu
  4. S

    Makonda analazimisha kuandikwa na kutangazwa

    Si ulisusa mbona umeandika
  5. S

    Tanzania hii, bajeti ya 2016/2017 ya trioni 29 imeshindikana , 2017/2018 ya trioni 31.6 itawezekana?

    Mpango hana mipango. Napata wasiwasi sana na anapotaka kutupeleka. Mawaziri wasomi wa uchumi wajaribu kumnyoosha huyo ndugu. Tukimuendekeza atatuua kwa kodi kwani bado anasema watu hawalipi kodi anataka tulipe kodi ya ndevu na kucha.
  6. S

    Ujasiri wa Nape kuonekana mwenye bashasha sana baada ya kutumbuliwa unatoka wapi?

    Nashukuru umetohoa kuwa alikosa uongozi wa pamoja either kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Suala la collective responsibility ni muhimu sana kwa kiongozi yeyote yule hata mjumbe wa serikali ya mtaa anatakiwa ajue hilo. Usipoweza basi pumzika kajipange upya.
  7. S

    Ujasiri wa Nape kuonekana mwenye bashasha sana baada ya kutumbuliwa unatoka wapi?

    Nadhani awali Nape alidanganywa na watu aliodhani ni wema kwake akahamaki na kutafuta waandishi wa habari kwa kiherehere kikubwa. Nadhani watu makini wamempa somo kuntu. Wakati wa JK baraza la mawaziri lilivunjwa zaidi ya mara sita lakini hakuna waziri aliyefanya vitimbwi kama vya huyo ndugu...
  8. S

    NAJIULIZA TU: Kama alimuonyesha pisto NAPE hadharani, hawezi kufanya hivyo kwa RAIS wetu kipenzi?

    Sorry nina maana value ya rais ni kubwa sana kuliko value ya waziri. Comparative analysis ya Nape na Magufuli
  9. S

    NAJIULIZA TU: Kama alimuonyesha pisto NAPE hadharani, hawezi kufanya hivyo kwa RAIS wetu kipenzi?

    Wana jamvi. Swali lake halina mashiko kwa msingi kwamba value ya rais ni tafauti sana na ile ya rais. Ukilinganisha mustadha wa ubinadamu wako sawa lakini kwa wadhifa, mchakato wa kupatikana na ulinzi kwa uchache wake ni tofauti sana.
  10. S

    Maalim Seif avuliwa Ukatibu Mkuu CUF, Magdalena Sakaya apewa Ukatibu Mkuu

    Wana JF nielewesheni kesi ya CUF imeishia wapi? Haipendezi kufukuzana kama mgambo wa Mwanza na Machinga
  11. S

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, aongoza kikao cha Kamati kuu Tanga

    Hapo watatoka na operation gani au zimetosha
  12. S

    Vijana msidanganyike!! CHADEMA haiwezi kuongoza nchi

    Mtoa mada amekuwa na haraka ya kuandika tumsamehe. Hajaweka tools of analysis
Back
Top Bottom