NAJIULIZA TU: Kama alimuonyesha pisto NAPE hadharani, hawezi kufanya hivyo kwa RAIS wetu kipenzi?

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Aug 23, 2015
3,274
7,418
haya mambo ya kumwamin mtu kuptiliza na hasa kama anatumika kwa mambo ambayo hakutakiwa kuyafanya je hatuoni hatari iliyoko mbele yetu!

kwa ujasiri ule wa kuonyesha bastola hadharan je cku moja hawez kumlenga hata RAISI? nawaza tu

halafu kwa anavojiita sniper na matendo aliyofanya what if anatumika hata kufanya mabaya kuliko tuliyoyaona? bado nawaza tu!

jaman hatariii tufikirie mara mbili mbili
 
haya mambo ya kumwamin mtu kuptiliza na hasa kama anatumika kwa mambo ambayo hakutakiwa kuyafanya je hatuoni hatari iliyoko mbele yetu!

kwa ujasiri ule wa kuonyesha bastola hadharan je cku moja hawez kumlenga hata RAISI? nawaza tu

halafu kwa anavojiita sniper na matendo aliyofanya what if anatumika hata kufanya mabaya kuliko tuliyoyaona? bado nawaza tu!

jaman hatariii tufikirie mara mbili mbili
Hawez coz yeye ndo alimtuma
 
haya mambo ya kumwamin mtu kuptiliza na hasa kama anatumika kwa mambo ambayo hakutakiwa kuyafanya je hatuoni hatari iliyoko mbele yetu!

kwa ujasiri ule wa kuonyesha bastola hadharan je cku moja hawez kumlenga hata RAISI? nawaza tu

halafu kwa anavojiita sniper na matendo aliyofanya what if anatumika hata kufanya mabaya kuliko tuliyoyaona? bado nawaza tu!

jaman hatariii tufikirie mara mbili mbili
Ndio maana ule mkutano ulizuiliwa ikimaanisha mkutano haukuwa salama kwa alie itisha mkutano ule.

So kilichotokea kusinge kuwepo kamera,may be the out come ingekuwa ni zaidi ya pale.
 
Mkuu Mtemi mpambalioto ni babu yangu ntakushangaa sana km utakuwa Ccm wewe wkt babu yangu alikuwa akipigania ardhi yetu.tupigane na sisi kuliondoa dubwana Ccm.hebu na wewe usiwe km mjinga moja humu linatia aibu mkoa wetu linaitwa Lizaboni nashangaa Songea hatuna wajinga sijui huyu katokea wapi
 
haya mambo ya kumwamin mtu kuptiliza na hasa kama anatumika kwa mambo ambayo hakutakiwa kuyafanya je hatuoni hatari iliyoko mbele yetu!

kwa ujasiri ule wa kuonyesha bastola hadharan je cku moja hawez kumlenga hata RAISI? nawaza tu

halafu kwa anavojiita sniper na matendo aliyofanya what if anatumika hata kufanya mabaya kuliko tuliyoyaona? bado nawaza tu!

jaman hatariii tufikirie mara mbili mbili
"think be for you leep" Dr Alban
 
haya mambo ya kumwamin mtu kuptiliza na hasa kama anatumika kwa mambo ambayo hakutakiwa kuyafanya je hatuoni hatari iliyoko mbele yetu!

kwa ujasiri ule wa kuonyesha bastola hadharan je cku moja hawez kumlenga hata RAISI? nawaza tu

halafu kwa anavojiita sniper na matendo aliyofanya what if anatumika hata kufanya mabaya kuliko tuliyoyaona? bado nawaza tu!

jaman hatariii tufikirie mara mbili mbili
Wana jamvi. Swali lake halina mashiko kwa msingi kwamba value ya rais ni tafauti sana na ile ya rais. Ukilinganisha mustadha wa ubinadamu wako sawa lakini kwa wadhifa, mchakato wa kupatikana na ulinzi kwa uchache wake ni tofauti sana.
 
Wana jamvi. Swali lake halina mashiko kwa msingi kwamba value ya rais ni tafauti sana na ile ya rais. Ukilinganisha mustadha wa ubinadamu wako sawa lakini kwa wadhifa, mchakato wa kupatikana na ulinzi kwa uchache wake ni tofauti sana.
Sorry nina maana value ya rais ni kubwa sana kuliko value ya waziri. Comparative analysis ya Nape na Magufuli
 
Back
Top Bottom