Ndiyo chama chakeSasa akatae kwani chama chake???
Kufeli shule sio kufeli maisha, kuna watu kibao wana-degree zaidi ya moja tena first class hakuna chochote wanachofanya. lakini wapo darasa 4 tu au wasiokwenda shule kabisa wanafanya vizuri.Unajua kuwa Membe alipata Div 4 form four?
Hamumtaki tena EDO???!!!!
Uchizi is loading...........Ccm,2020 membe anakamata kijiti
Naunga mkono hoja,ukizingatia nilikua timu Membe 2015,
Zitto Kabwe naye ni Presidential MaterialMH. BERNARD MEMBE, KWA HESHIMA ZOTE, HANA UWEZO, HAIBA WALA SIFA YA KUWA HATA WAZIRI MKUU WA NCHI HII ACHILIA MBALI UMAKAMU AU URAIS WENYEWE, REGARDLESS YA CHAMA. KWA MTAZAMO WANGU, NA BILA KUJALI CHAMA KUNA WATU WANA SIFA HIZO ZA KUWA RAIS 2020 NA NIWATAJE WACHACHE KAMA WAZIRI WA ULINZI MH. DR. HUSSEIN MWINYI, MH. TUNDU LISSU, MH. MWIGULU MCHEMBA, BALOZI DR. EMMANUEL NCHIMBI, NA WATU WA AINA ZAO.AKITOKEA YOYOTE KATI YA HAO SAWA KABISA. MAONI YANGU.
we kweli ditopile wa pili! kalaga baho!Ndiyo chama chake
Haloperidol inakuhusu!Huo ndiyo mtindio wenyewe wa ubongo, kwani wakati mnamuita team JK na kwamba wanachaguana na kupeana madaraka hamkumuona anafaa ila leo ndiyo akili zimewarudia siyo????
Kweli chizi karogwa tena.
Sasa uzi wa kijinga usifutwe kwa nn?
CC. mood[/QUOTE
Mtazunguka mtarudi pale pale, Hakuna kiongozi kama Dr Slaa, mlimuita msaliti kwa kuwaambia ukweli leo hii yote aliyoyasema yametokea, najua nikisema hili kwa kuwa jf moderators ni chadema wana ng'oa. Mpaka leo hakuna alternative voice Tanzania kwa kuwa watu hawawaamini tena wakina Mbowe. Hata leo nimemsikia Mbowe eti akimsihi JPM asikilize wapinzani hivi bado tuko huko Jamani? tangu Dr slaa atoe list of shame hakuna aliyevunja rekodi yake ya ujasiri na ukweli, mmejaa majungu tu, mbowe kauza chama kwa Lowassa sasa kimemdodea. Nimewachoka sana wakina Mbowe siwatamani na 2020 mimi ntapanda kwenye jukwaa la CCM kumnadi mgombea wao huki Kawe. vijana wamejazana mtaani viongozi wmeingia mitini tangu uchaguzi wako busy na ma babies. I hate them all! I want Slaa, I want Slaa
KUTUMWA VEEPEEmembe ana mapungufu mengi sana, lakini ndiye rais bora kuliko wanaccm wooote, kwanza anajua kiingereza, elimu yake sio magumashi, ana utaalamu na diplomasia, ni afisa usalama wa taifa, halafu ana akili.
Wewe ni mwana-CCM pia ???Naunga mkono hoja,ukizingatia nilikua timu Membe 2015,
Akitoroke ili agombee Uraisi 2020 ???#MembeTorokaUje#
membe ana mapungufu mengi sana, lakini ndiye rais bora kuliko wanaccm wooote, kwanza anajua kiingereza, elimu yake sio magumashi, ana utaalamu na diplomasia, ni afisa usalama wa taifa, halafu ana akili.
Ina maana CCM hakuna mtu sasa hivi ??Membe ni binadamu pekee aliyepo CCM anaeweza kuiongoza hii nchi vizuri
Asijaribu. Hafai!!Kwa mtazamo wangu mimi huu ni muda wa kumuomba Ndugu BERNARD MEMBE atoke huko alipo na apinduke upande wa pili kwa ajili ya kumsimamisha akiwakilisha upinzani na LOWASA abakie kutoa support na si kuwa mgombea