Recent content by sekwa

  1. sekwa

    Sijisifii ila mwanamke nitakayemuoa atakuwa amepata bahati tu

    Unajua nn Tafuta mshangazi mana kizazi hiki hakuna mke wote wajasiria Mali.
  2. sekwa

    Nilivyokutana na 'singo maza wa kiarabu'

    Nahisi kizaz chetu watu wa themanini mwishoni tunakosa na tumekosa marifa na busara pamoja na mbinu nyumbulifu za maisha toka kwa wazee wetu. Ujuaji na utandawazi umetuponza sana kujifunza namna halisi ya maisha.
  3. sekwa

    Nilivyokutana na 'singo maza wa kiarabu'

    Hakika umezitendea haki mbunyeto na maisha kwa ujumla
  4. sekwa

    Nilivyokutana na 'singo maza wa kiarabu'

    Mtukanaji namba moja naomba niwe mimi tafadhali... Eeeeh kwa hiyo mzee hujao au mbunyeto ulikuwa unazimunyiza na kuondoka Vp kuhusu familia na watoto au hukutaka tena kuwa nao?
  5. sekwa

    Je, ni kweli Ibrahimu alijenga kaabah?

    Kuna ujinga na upumbuvu sasa Ingia ktk mtego wa upumbavu alafu umpe elimu yatabaki yakicheka na kukenua yakiona wenzao wajinga kumbe wao ni brain washed na hata kujua vizur vyanzo na uhalali wa vitabu na mipaka ya nchi za sasa haukua hivi ulivyo leo... Wache wapumbavu na upumbavu wao.
  6. sekwa

    Waasi waliomuangusha Assad wa Syria waapa kuendeleza vita hadi kuiteka Yerusalem

    Israel dini pale ni Jewels yani wayahudi wewe endelea kupata maji na chumvi ya upako hapo Ukwamani
  7. sekwa

    Peter Mollel (Pierre Liquid) amesilimu sasa anaitwa Salum Sheikh Kishk

    Achana kujibishana na wapuuz ni bora hata wangekuwa wajinga
  8. sekwa

    Jinsi nilivyonusurika kufa leo asubuhi

    Kwanza mtu alikushauri pilipili kichaa na kituu swaumu inabid umalàni Pili dawa yeyote bila kula ni hatar sana Tatu Cayyene pepper ndo pilipili pekee ambayo ni tiba na blood thinner pitia Herbalist na Nutrionalist wote dunian Zaid pombe na dawa ni hatar kwa afya yako
  9. sekwa

    Ukristu wazidi kuenea kwa kasi Indonesia

    Unaweza nipa ushahid wa aya au umeamua kuropoka ili wajinga wenzako wacheke na ku like
  10. sekwa

    Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

    Hivi wanashinda mitandaoni na google kwa kueneza uzushi na chuki wakidhani kila mtu poyoyo. Alafu linaelimishwa linashupaza misuli kwa kutetea ujinga wake
Back
Top Bottom