Recent content by seiyegas

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi auawa kikatili baada ya kubakwa, kuchinjwa shingo na kunyofolewa sehemu nyeti

    Haya mambo yataisha lini jamani, watu tumekua kama wanyama sasa. Angalia mtoto kama huyo hana hatia. Mungu ailaze Roho yake mahali pema.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Usaili Utumishi, mnapimaje ubora wa mtu kwa maswali mawili?

    ukisikia kukomoana ndio huko walau wangetoa topic mbili tofauti
  3. S

    JamiiForums Tanzania Maajabu: Kutana na mwanaume aliyetembelea mbinguni mara nne na kuchora ramani

    Ni sawa na ule usemi wa Fid Q kuwa anaweza kuzifanya dawa zikaugua, kitu ambacho hakiwezekani.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Haya ndio majina mazuri ya wachaga

    Seiya-pisha njia
  5. S

    JamiiForums Tanzania Dalili za kujua kama umeanza kuwa kichaa

    Kweli nimeamini watu washaanza kubisha
  6. S

    JamiiForums Tanzania Avatar na jina lako, ulifikiria nini?

    Mimi nimependelea kuweka avatar hiyo kwa sababu ya huo ujumbe
  7. S

    JamiiForums Tanzania Avatar na jina lako, ulifikiria nini?

    Hiyo avatar kweli inajieleza kikamilifu
  8. S

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    pesa ndio heshima, shikamoo makelele
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu YAP-Tanzania

    Hao ni matapeli nakushauri ndugu usitume hiyo fedha kama unayo ifanyie jambo lingine la msingi huwezi kujitolea halafu ulipe tena kwa ajili ya usajili.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Wanawatapeli wanaotafuta kazi

    Kwani kama ameona jambo kama hilo na akajua kuwa litaleta madhara kwetu sisi wasaka ajira asitujulishe? tusimuhukumu cha msingi tuchukue ujumbe wake na kujitahadharisha. Kama yeye ni mmoja wao basi ila ujumbe umetufikia na tutaufanyia kazi.
  11. S

    JamiiForums Tanzania SCI Internal Job Bulletin 18/06/2014

    Nitupie kwenye hii mkuu seiyegas@gmail.com
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tuongee kichina

    hang tong li
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni graduate soma hii

    Nipo tayari tuungane jamani hali sio nzuri
  14. S

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni graduate soma hii

    Nipo tayari tuungane jamani hali sio nzuri
  15. S

    JamiiForums Tanzania Nataka kujinyonga kwa kukosa kazi

    pole sana kaka kumbuka tupo wengi wenye matatizo kama la kwako kwa hiyo kuwa na imani kwani tayari una hazina ambayo hakuna wakukunyang'anya ambayo ni ELIMU c lazima tuajiriwe jamani ubunifu katika kufanya mambo mengine ni muhimu
Back
Top Bottom