Sababu kubwa ni viongoz tunao wachagua si wazalendo kwa mataifa Yao Yana jimbilikizia Mali na kusahau watu walio wachagua na sub point weng n vibaraka Wana tumia kutukandamiza nafikili n akili ndogo sana iliyo tumika kujibu
Huwez kuita nchi bl watu huu ni ukwel uciopingika afrika ina toa harufu mby alicho zungumza kiko sahihi ndio maana wa afrika weng hukimbilia huko. Na naamin tokea uzaliwe huja wahi cikia mkimbiz kutoka marekani. Great mind discus Idea
Mpoto katumia tafsir sisi katoa mfano che guavara ajui kuwa ulikuja kwa order maalum kuanzia Cuba mpk Congo mbn alikubali kugawana keki ya taifa km pongez alicho kifanya Mpoto automatically kakosea Bella hakustaili huu ni usalit
Kabla ya mtume Muhammad kufa aliwahusia waumin wakiarabu# expel the jews from Arabian peninsula# ndio leo hiki kinacho watokea kwa kua c wamoja#mayahudi na manaswala watokubali mpk mfuate Mila zao#
Kusaka ukwel sawa na kumenya Ganda la kitunguu Lita kutoa machoz na kubaki macho juu ukisha fika kwenye kiini niambie nn utagundua zaidi ya mafaili ambayo Uta shindwa kuya funua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.